Unapenda cocktail ama mocktail gani zaidi..?

wewe hufai!, wewe ni lilevi..🤣
cocktail inaingia pombe tano Gin,vodka,rum, triple sec na tequila! we kiboko kwenye sherehe hufai kualikwa utamaliza bohari..😅
Mtengenezaji aliniuliza mbona haulew
Nikamwambia naomba extra strong😅
Ile ya mwisho nikaona sasa inafaa kwenda kulala..
 
Mtengenezaji aliniuliza mbona haulew
Nikamwambia naomba extra strong😅
Ile ya mwisho nikaona sasa inafaa kwenda kulala..
we kiboko hiyo kunywa tano inahitaji nyongo mjongeo...😅
 
Wakati ukiitengeneza kwako haizidi hata afu 5 ( hio kama unatengeneza cocktail)
Mh! labda pombe ukanunue kwa tot! lkn chupa nzima ya rum ni zaidi hata ya hiyo 15, maybe utumie konyagi let's say ununue konyagi ndogo..
 
Kuna Chimbo pale michocheni linaitwa polos kipindi nipo chuo tulikua tunaanzia pale tunapiga cocktail then tunaingia clubs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…