Em sema kweliii?wewe ndo umenivuruga!
Em niwachee mie, mxxxiiiieeeew [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unajiita mjanja na hata cocktail huzijui..[emoji28]
Wakati fanta ipoKama hakina kilevi Cha Nini Sasa?
Basi mie wa shamba mkuu hata sivijui, hapa nipo nasoma Kila kitu nipate elimu kwa wazoefu halafu ntaenda kujaribu 😀Hapana mkuu vitu za kawaida hakuna cha ushua
ungewauliza..Uzi umekuja wakati mzuri sana.
Juzi tu nilikuwa nagugo jinsi ya kutengeneza cock tail na mock tail…Wacha nisubiri wataalamu.
View attachment 3250823
Kuna siku nikajaribu hii, sijui hata walichanganya vitu gani.
Kiglass kidogo tu akili inahama😁
View attachment 3250831