Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 620
- 1,240
Hii ni balaaaa [emoji91][emoji91][emoji91]
Call of duty modern warfare III Ni game mpya itakayoachiwa mwezi Septemba tarehe 10 mwaka huu, ni game inayojihusisha na upiganaji kwa mfumo wa mission za kivita. Game hii imetengenezwa na kampuni ya sledgehammer na kuachiwa na Activision.
Toka kuachiwa kwake mpaka Leo hii ni game ya Ishirini kwenye series zote za call of duty lakini ni Series ya Tatu kuachiwa toka kwenye series ya Modern warfare ambapo mwaka Jana 2022 iliachiwa Modern warfare II.
Game hii inahusu muendelezo wa afisa wa CIA Na kikosi Cha SAS toka uingereza wanashilikiana na waarifu (waasi) wa jamhuri ya kubuni ya Urzkistan. Wakipambana kwa pamoja dhidi ya wanajeshi wa kirusi.
Waliovamia nchi hiyo na kundi la kigaidi la Urzik Al Qatala wakati wakitafuta shehena ya gasi ya klorini iliyoibiwa kwenye meli na Ndege.kwaiyo kikosi Cha watu wanne kinatumwa kuokoa jahazi kiambatana na captain Price? Je wataweza? Tusibire Septemba 10 itakapoachiwa.
Game hii Ina muundo wa aina Mbili Kuna multiple player ambayo mnaweza cheza wawili lakini online pamoja na single player anacheza mmoja. Pia hii ndo series ya kwanza kwenye Call of duty modern warfare kuwa na mazombie yani Kuna missions mnacheza Kuna ma zombie sio poa.
Missions ziko zaidi ya 16 Kuna baadhi ya missions mpaka kumaliza inakuchukua masaa 10hr, nyingine, masaa 6hr, 12hr, 49hr masaa 9hrs na nk kwaiyo spidi Yako ndo kumaliza kwako[emoji87].
Ni game nzuri sana kuanzia mazingira unaweza sema kweli , Sauti inasikika balaa haswa ukicheza kwenye speaker za JBL , graphics yake ni nzuri ukianza kucheza hutaki kumaliza.
Game hii utaweza kucheza kwenye kompyuta, Ps 5 , PS4, Xbox Series ya X na S, Xbox One gharama yake ni Usd dollar 70[emoji383] weka oda Yako.
Call of duty modern warfare III Ni game mpya itakayoachiwa mwezi Septemba tarehe 10 mwaka huu, ni game inayojihusisha na upiganaji kwa mfumo wa mission za kivita. Game hii imetengenezwa na kampuni ya sledgehammer na kuachiwa na Activision.
Toka kuachiwa kwake mpaka Leo hii ni game ya Ishirini kwenye series zote za call of duty lakini ni Series ya Tatu kuachiwa toka kwenye series ya Modern warfare ambapo mwaka Jana 2022 iliachiwa Modern warfare II.
Game hii inahusu muendelezo wa afisa wa CIA Na kikosi Cha SAS toka uingereza wanashilikiana na waarifu (waasi) wa jamhuri ya kubuni ya Urzkistan. Wakipambana kwa pamoja dhidi ya wanajeshi wa kirusi.
Waliovamia nchi hiyo na kundi la kigaidi la Urzik Al Qatala wakati wakitafuta shehena ya gasi ya klorini iliyoibiwa kwenye meli na Ndege.kwaiyo kikosi Cha watu wanne kinatumwa kuokoa jahazi kiambatana na captain Price? Je wataweza? Tusibire Septemba 10 itakapoachiwa.
Game hii Ina muundo wa aina Mbili Kuna multiple player ambayo mnaweza cheza wawili lakini online pamoja na single player anacheza mmoja. Pia hii ndo series ya kwanza kwenye Call of duty modern warfare kuwa na mazombie yani Kuna missions mnacheza Kuna ma zombie sio poa.
Missions ziko zaidi ya 16 Kuna baadhi ya missions mpaka kumaliza inakuchukua masaa 10hr, nyingine, masaa 6hr, 12hr, 49hr masaa 9hrs na nk kwaiyo spidi Yako ndo kumaliza kwako[emoji87].
Ni game nzuri sana kuanzia mazingira unaweza sema kweli , Sauti inasikika balaa haswa ukicheza kwenye speaker za JBL , graphics yake ni nzuri ukianza kucheza hutaki kumaliza.
Game hii utaweza kucheza kwenye kompyuta, Ps 5 , PS4, Xbox Series ya X na S, Xbox One gharama yake ni Usd dollar 70[emoji383] weka oda Yako.