October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 5,012
[emoji28][emoji28]U-fresh zile vipo kwenye vimfuko kama barafu?
Unavijua mkuu ? Vina ladha za matunda😂😂😂[emoji28][emoji28]
hizo ni za mia, nazungumzia za 200 Tzs ni kikopo unaweka kifuani mrija unanyonya hapo unapiga mawe waandika ujinga JF mpaka kinaisha.U-fresh zile vipo kwenye vimfuko kama barafu?
Kwahiyo unapiga cha miambili kimoja na karanga za mia mia 2 yaani jumla mia 4.hizo ni za mia, nazungumzia za 200 Tzs ni kikopo unaweka kifuani mrija unanyonya hapo unapiga mawe waandika ujinga JF mpaka kinaisha.
Ebu njoo pm Mara moja tuongee vzr mpz unajuaga navo kupendaKwahiyo unapiga cha miambili kimoja na karanga za mia mia 2 yaani jumla mia 4.
Mimi huwa sina kiliwazo. Nikipanda kitandani ni simu kuchat kisha naiweka pembeni nalala.
Mbona haujawahi hata kunikonyeza nijue unanipenda?Ebu njoo pm Mara moja tuongee vzr mpz unajuaga navo kupenda
Stareh mtakato hiyohizo ni za mia, nazungumzia za 200 Tzs ni kikopo unaweka kifuani mrija unanyonya hapo unapiga mawe waandika ujinga JF mpaka kinaisha.
Yap, huwa ninatumia pia[emoji28]Unavijua mkuu ? Vina ladha za matunda[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mpz nikukonyeze mbele ya Watoto KweliMbona haujawahi hata kunikonyeza nijue unanipenda?