Una akili kama yangu nilitaka kuanzisha mada ya hivi anyway me natumia ya dark blue hiyo ya tatu naona ndo nzurii
No 2raraa reree unatumia ipi
Haikuumizi macho mkuu?
Kwa afya njema ya macho yetu namba 3 is the best ,
Mie pia namba 1
Hii ndo inanifanya naona vzr..Haikuumizi macho mkuu?