Sokoro waito
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 2,201
- 2,599
heshima kwenu wadau wa kutengeneza fursa za kuongeza utajiri,
wakati fulani niliwahi kusoma historia ya tajiri mkubwa aitwaye WARREN BUFFET, ambapo alielezea kwa ufanisi mkubwa kuhusu jinsi alivyoanza kuwekeza kwenye biashara huko marekani tangu miaka mingi iliyopita hadi leo hii amefikia hatua kubwa ya kumiliki utajiri mkubwa lakini kilichonishangaza zaidi ni pale aliposisitiza kuwa ni vizuri kuitumia pesa yako mwenyewe kwenye uwekezaji/biashara ama ujasiriamali kuliko kutumia pesa ya watu wengine kwenye biashara/uwekezaji ama ujasiriamali.
Tafsiri isiyo rasmi ya maneno, 'pesa yako' na 'pesa ya wengine' ni hii hapa chini;
'pesa yako' inamaanisha pesa unayomiliki wewe mwenyewe isiyomilikiwa na mtu yeyote yule isipokuwa wewe tu.
'pesa ya wengine' inamaanisha pesa inayomilikiwa na watu wengine ila waweza pewa kwa masharti maalumu kuitumia pesa hiyo, kwa mfano mikopo kutoka benki, mikopo kutoka kwa watu binafsi, nakadhalika.
tuambizane wakuu, je wewe unapenda kutumia pesa ipi kukuza biashara zako katika zama hizi? na kwanini?
je pesa ipi kati ya hizo inawasaidia wafanyabiashara walio wengi kufika mbali kibiashara?
karibuni kwa mjadala.
wakati fulani niliwahi kusoma historia ya tajiri mkubwa aitwaye WARREN BUFFET, ambapo alielezea kwa ufanisi mkubwa kuhusu jinsi alivyoanza kuwekeza kwenye biashara huko marekani tangu miaka mingi iliyopita hadi leo hii amefikia hatua kubwa ya kumiliki utajiri mkubwa lakini kilichonishangaza zaidi ni pale aliposisitiza kuwa ni vizuri kuitumia pesa yako mwenyewe kwenye uwekezaji/biashara ama ujasiriamali kuliko kutumia pesa ya watu wengine kwenye biashara/uwekezaji ama ujasiriamali.
Tafsiri isiyo rasmi ya maneno, 'pesa yako' na 'pesa ya wengine' ni hii hapa chini;
'pesa yako' inamaanisha pesa unayomiliki wewe mwenyewe isiyomilikiwa na mtu yeyote yule isipokuwa wewe tu.
'pesa ya wengine' inamaanisha pesa inayomilikiwa na watu wengine ila waweza pewa kwa masharti maalumu kuitumia pesa hiyo, kwa mfano mikopo kutoka benki, mikopo kutoka kwa watu binafsi, nakadhalika.
tuambizane wakuu, je wewe unapenda kutumia pesa ipi kukuza biashara zako katika zama hizi? na kwanini?
je pesa ipi kati ya hizo inawasaidia wafanyabiashara walio wengi kufika mbali kibiashara?
karibuni kwa mjadala.