Povu man nunua omo kwa wingi 2018 mtaisoma namba kama kawaida.Heading na content haviendani! Jifunze uandishi
We jamaa hujuelewi!Povu man nunua omo kwa wingi 2018 mtaisoma namba kama kawaida.
Povu man unasema nini sasa?We jamaa hujuelewi!
Kwenye hii kada ya uchekeshaji pia hamtufikii, mc pilipili juzi tu hapa ameshinda tuzo kama mchekeshaji chipukizi wa mwaka wa Africa. Tuzo zimetolewa Nigeria.
Kawawakilisha wote E & C Africa.
Umeishiwa hoja,ntukutane baadae[emoji124] [emoji124] [emoji124]Povu man unasema nini sasa?
Naona umerudi LDCUmeishiwa hoja,ntukutane baadae[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Unasemaje mtu wa Low middle incomeNaona umerudi LDC
Nangoja first berth kufunguliwa pale Lamu mwaka huu.Unasemaje mtu wa Low middle income
Me nangoja republic of mombasa ijitengeNangoja first berth kufunguliwa pale Lamu mwaka huu.
Eti umemtaja MC Pilipili? Acha jokes man huyo jamaa anabore zaidi ya wale wahubiri mobile kwenye mabasi. Yaani alialikwa Laugh Festival hapa Kenya. Humo ndani kulikuwa na comedian international kama kina Basketmouth wa Naija na Salvador wa UG. Jamaa aachane tu na comedy, sijui ni jokes alishindwa kununua au ni hiyo sauti yake ya mwalimu wa chekechea? Yaani yeye pekee yake ndo alikuwa anacheka.We jamaa hujuelewi!
Kwenye hii kada ya uchekeshaji pia hamtufikii, mc pilipili juzi tu hapa ameshinda tuzo kama mchekeshaji chipukizi wa mwaka wa Africa. Tuzo zimetolewa Nigeria.
Kawawakilisha wote E & C Africa.
Nilichoongelea mimi ni tuzo! Je kachukua au hajachukua?Eti umemtaja MC Pilipili? Acha jokes man huyo jamaa anabore zaidi ya wale wahubiri mobile kwenye mabasi. Yaani alialikwa Laugh Festival hapa Kenya. Humo ndani kulikuwa na comedian international kama kina Basketmouth wa Naija na Salvador wa UG. Jamaa aachane tu na comedy, sijui ni jokes alishindwa kununua au ni hiyo sauti yake ya mwalimu wa chekechea? Yaani yeye pekee yake ndo alikuwa anacheka.
Tuzo ilikuwa ya nini jombaa? Kwa hivyo umekubali hawezani na comedy? Nilishangaa kuona dogo kama MC Tricky anang'aa zaidi yake.Nilichoongelea mimi ni tuzo! Je kachukua au hajachukua?
Hiyo ni kazi yako kutafuta ilikuwa ya nini, halafu baadae uje utwambie kwa nini huyo MC tricky hata hakuwa nominated, achilia mbali kushindaTuzo ilikuwa ya nini jombaa? Kwa hivyo umekubali hawezani na comedy? Nilishangaa kuona dogo kama MC Tricky anang'aa zaidi yake.
Sawa mwalimu, asanta sana kwa kazi ya ziada ila comedy ya tz ni full majanga. Huwa mnacheka au ndo huwa mnalia?Hiyo ni kazi yako kutafuta ilikuwa ya nini, halafu baadae uje utwambie kwa nini huyo MC tricky hata hakuwa nominated, achilia mbali kushinda
Hiyo ni sawa na kungoja port ya Bagamoyo ijengwe.Me nangoja republic of mombasa ijitenge
He he heeeee! Kucheka na kulia zote ni kazi za comedy mkuu!Sawa mwalimu, asanta sana kwa kazi ya ziada ila comedy ya tz ni full majanga. Huwa mnacheka au ndo huwa mnalia?
Naskia jumatatu kesi inasomwa mahakamaniHiyo ni sawa na kungoja port ya Bagamoyo ijengwe.