Unapenda mashairi? toka kenya.....

waltham

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2014
Posts
2,522
Reaction score
1,045
Utasikia mtanzania akitoa povu lugha ya kizungu ni ya utumwa. na dini anayefuata je ni nini!!!! na kiswahili kilichojaa maneno toka kwa lugha za wamiliki wa watumwa EA waarabu je!!! sielewi....

 
Povu man nunua omo kwa wingi 2018 mtaisoma namba kama kawaida.
We jamaa hujuelewi!

Kwenye hii kada ya uchekeshaji pia hamtufikii, mc pilipili juzi tu hapa ameshinda tuzo kama mchekeshaji chipukizi wa mwaka wa Africa. Tuzo zimetolewa Nigeria.

Kawawakilisha wote E & C Africa.
 
We jamaa hujuelewi!

Kwenye hii kada ya uchekeshaji pia hamtufikii, mc pilipili juzi tu hapa ameshinda tuzo kama mchekeshaji chipukizi wa mwaka wa Africa. Tuzo zimetolewa Nigeria.

Kawawakilisha wote E & C Africa.
Povu man unasema nini sasa?
 
we ungeacha tu watu tusikilize hayo mashairi....sasa ulivolijinga umeanza na kebehi
 
Ganja yaweza mfanya mtu kujihisi anapaa wakati anatambaa
 
We jamaa hujuelewi!

Kwenye hii kada ya uchekeshaji pia hamtufikii, mc pilipili juzi tu hapa ameshinda tuzo kama mchekeshaji chipukizi wa mwaka wa Africa. Tuzo zimetolewa Nigeria.

Kawawakilisha wote E & C Africa.
Eti umemtaja MC Pilipili? Acha jokes man huyo jamaa anabore zaidi ya wale wahubiri mobile kwenye mabasi. Yaani alialikwa Laugh Festival hapa Kenya. Humo ndani kulikuwa na comedian international kama kina Basketmouth wa Naija na Salvador wa UG. Jamaa aachane tu na comedy, sijui ni jokes alishindwa kununua au ni hiyo sauti yake ya mwalimu wa chekechea? Yaani yeye pekee yake ndo alikuwa anacheka.
 
Nilichoongelea mimi ni tuzo! Je kachukua au hajachukua?
 
Tuzo ilikuwa ya nini jombaa? Kwa hivyo umekubali hawezani na comedy? Nilishangaa kuona dogo kama MC Tricky anang'aa zaidi yake.
Hiyo ni kazi yako kutafuta ilikuwa ya nini, halafu baadae uje utwambie kwa nini huyo MC tricky hata hakuwa nominated, achilia mbali kushinda
 
Hiyo ni kazi yako kutafuta ilikuwa ya nini, halafu baadae uje utwambie kwa nini huyo MC tricky hata hakuwa nominated, achilia mbali kushinda
Sawa mwalimu, asanta sana kwa kazi ya ziada ila comedy ya tz ni full majanga. Huwa mnacheka au ndo huwa mnalia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…