hahahahahehehehe mkuu ukiwa mwanachama wa Taarabu kunako lazima uwe nako mwanachama hehehe usiseme sana invisible akisikia nitakuwa likizo ooooh mtanikosa.
hahahaha
ngoja nikimbie haraka robot asinikute humu. najiulizaga wale mabaunsa wanaorusha vidole hewani ina maana nao ndo vile au inakuwaje maana utakuta mtoto wa kiume anasawajika kuliko jimama.... ah we acha tu
sie wengine huwaga tunachovya kidole kwenye asali bila kuogopa nyuki wang'atao
kuna binti mmoja wa kiume huwa nilikuwa namwona sana pale njenje ambasada plaza. ila mmeuona wimbo wa omari mkali wa pikipiki piki?
we fidel
Yaaaala