American Dream
JF-Expert Member
- Mar 18, 2022
- 313
- 352
"""Bondia wa ngumi za kulipwa nchini amefanikiwa kutunukiwa zawadi ya TV Inch 32 kufuatia kuibuka bondia aliyecheza vizuri zaidi katika pambano lake alilomchapa Elvis Mensah raia wa Ghana katika pambano lilopigwa jana usiku kwenye Arena ya Bukom Boxing iliopo Accra, Ghana"""
MAONI YANGU:
WADAU WA MICHEZO BORESHENI ZAWADI MNAZOTOA, VIPAJI VINGI VINAPOTEA KWA MAMBO KAMA HAYA, MCHEZO WA BOXING NI HATARI SANA, WANASTAHILI KUZAWADIWA ZAIDI YA HIVI.
MAONI YANGU:
WADAU WA MICHEZO BORESHENI ZAWADI MNAZOTOA, VIPAJI VINGI VINAPOTEA KWA MAMBO KAMA HAYA, MCHEZO WA BOXING NI HATARI SANA, WANASTAHILI KUZAWADIWA ZAIDI YA HIVI.