American Dream
JF-Expert Member
- Mar 18, 2022
- 313
- 352
ukute hata iyo tv ni body tu ndani amna kitu.[emoji23][emoji28]Waghana matapeli kama wanaijeria
Trueukute hata iyo tv ni body tu ndani amna kitu.[emoji23][emoji28]
KabisaaaWaghana matapeli kama wanaijeria
🤣🤣🤣Levels [emoji2]
Ni kweli walielewana lakini haimaanishi kuwa kinachofanyika ni stahili ya mchezajiLakini si walielewana
Hawashindwi🤣ukute hata iyo tv ni body tu ndani amna kitu.[emoji23][emoji28]
Niliwah shangaa nikiwa morogoro,ligi ya mbuzi na wakati huo timu zimesajili wachezaji wa ndondo kwa kila mechi analipwa 10,000 na kama atalala usiku anatafutiwa demu,siku ya fainali kimbuzi kilicholetwa nilibak mdomo waziWatu wanacheza ligi za mbuzi , ng'ombe na kuku weww unashangaa TV?
Karibu Africa
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Umewahi kujiuliza Simba na yanga wanasajili wachezaji wa bei ghali huku kombe likiwa halizid million 100Niliwah shangaa nikiwa morogoro,ligi ya mbuzi na wakati huo timu zimesajili wachezaji wa ndondo kwa kila mechi analipwa 10,000 na kama atalala usiku anatafutiwa demu,siku ya fainali kimbuzi kilicholetwa nilibak mdomo wazi
Afu mil 100 yenyew hata diamond anaweza kuwalipaUmewahi kujiuliza Simba na yanga wanasajili wachezaji wa bei ghali huku kombe likiwa halizid million 100
Mkuu labda Yanga..Simba hapana..ameishia robo fainali Shirikisho amepata milioni 900..labda Yanga wakibahatisha ndiyo watapata hicho ulichokisema.Umewahi kujiuliza Simba na yanga wanasajili wachezaji wa bei ghali huku kombe likiwa halizid million 100
🤣🤣ukute hata iyo tv ni body tu ndani amna kitu.[emoji23][emoji28]
🤣🤣🤣Kuna mwaka kijijin kwetu ILICHEZWA LIGI YA JOGOO
usajir wa wawachezaj TU timu yetu pekee ingeweza kununua ng'ombe wawil
Maajabu hayaishi katika soka
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Niliwah shangaa nikiwa morogoro,ligi ya mbuzi na wakati huo timu zimesajili wachezaji wa ndondo kwa kila mechi analipwa 10,000 na kama atalala usiku anatafutiwa demu,siku ya fainali kimbuzi kilicholetwa nilibak mdomo wazi
Simba imeanzishwa mwaka 1936 unataka kusema Simba, imeshiriki robo fainali kwa miaka 86 mpaka sasa? Robo fainali hajafikisha hata mara kumi kwahiyo ni yale yale ya kupata kombe la thamani ya chini wakati timu imeandaliwa kwa gharama kubwaMkuu labda Yanga..Simba hapana..ameishia robo fainali Shirikisho amepata milioni 900..labda Yanga wakibahatisha ndiyo watapata hicho ulichokisema.