Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Mechi ipo onfire sijawahi ona.
naona nado ameumia
naona nado ameumia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa pyramid tutajua anaupiga mwingi au laa? Maana kuna watu walimtukana Simba kabla hajavuka mto.Mechi ipo onfire sijawahi ona.
naona nado ameumia
🙂 kwani unawaonaje pyramid bro ?Kwa pyramid tutajua anaupiga mwingi au laa? Maana kuna watu walimtukana Simba kabla hajavuka mto.
Yupo benchi anang'ara na sharubu zakePapaa Mobimba yupo?
AZAM 1-0 NAMUNGOImeishaje
huyu sospter bajana,msimu ulioipita alikuwa anatumia jina gani?Ngoja leo tuone nani zaidi kati ya hawa viungo sospeter bajana na lucas kikoti
Imenichanganya mimi pia! msimu uloisha hakutumia jina hili! yaan jina jipya sura ileilehuyu sospter bajana,msimu ulioipita alikuwa anatumia jina gani?
Alikuwa anaitwa BRYSON RAPHAELImenichanganya mimi pia! msimu uloisha hakutumia jina hili! yaan jina jipya sura ileile
Halafu kuna KENGE linacheza UMISETA na linashangilia[emoji2960][emoji2960]AZAM 1-0 NAMUNGO
Bryson raphael majina yalikua yanawachanganya watu na David bryson wa yangahuyu sospter bajana,msimu ulioipita alikuwa anatumia jina gani?