Angalizo;maneno yyenye msaada
wanandugu ni wakati mzuri wa kujiandaa na maafa badala ya kuanza kukimbilia ma jaketi na mengineyo wakati watu wanakwisha
incase umefika lodge ukaenda kuoga mara unatoka unakuta mkeo anatoka bafuni nae ana taulo kuelekea chumba cha jirani naomba msaada step za kuchukua ili tuwendelee kupendana na kusameheana kwa hili
nawakilisha
Angalizo;maneno yyenye msaada
wanandugu ni wakati mzuri wa kujiandaa na maafa badala ya kuanza kukimbilia ma jaketi na mengineyo wakati watu wanakwisha
incase umefika lodge ukaenda kuoga mara unatoka unakuta mkeo anatoka bafuni nae ana taulo kuelekea chumba cha jirani naomba msaada step za kuchukua ili tuwendelee kupendana na kusameheana kwa hili
nawakilisha
Mapenzi kwisha! Muhimu ni kila mtu na njia yake! Ukiuliza wewe umefata nini huku, utajibiwa hv, Na wewe umefata nini huku!:closed_2:
Angalizo;maneno yyenye msaada
wanandugu ni wakati mzuri wa kujiandaa na maafa badala ya kuanza kukimbilia ma jaketi na mengineyo wakati watu wanakwisha
incase umefika lodge ukaenda kuoga mara unatoka unakuta mkeo anatoka bafuni nae ana taulo kuelekea chumba cha jirani naomba msaada step za kuchukua ili tuwendelee kupendana na kusameheana kwa hili
nawakilisha
Hapa kila mmoja itabidi amjibu mwenzie kulikoni ingawa nyie wanaume kwa hali kama hiyo kosa kubwa litaonekana kwa mwanamke :twitch:
Kwa wazee wa infidelity kama sisi Ni Marufuku:
1.:lie::lie:
hapo tu! sasa kumbe ni mzee wa infidelity?
Umepapenda hapo? Twende PM basi..............:humble:
lunch umepata valuu ngapi vile?
Kwa wazee wa infidelity kama sisi Ni Marufuku:
1. Kwenda gesti ambazo si self contained
2. Kukutana na mkeo kwenye nyumba za uasherati
3.Kuingia gesti kwa mlango wa mbele
4.Kufungua mlango wa chumba cha gesti kabla hujachungulia kwenye tundu la funguo (huku ukisikiliza foot steps)
5. Kuangalia nyuma au pembeni mara unapotoka kwenye lango wa chumba cha gesti
6. Kuongozana na mtenda dhambi mwenzio (mwanamke anawahi kuingia na mwanaume anawahi kutoka)
Ukizingatia yote hayo, kama wewe ni mzee wa infidelity, na mkeo naye akawa mama wa infidelity..... Haitakaa itokee mkafumaniana gesti. ASILANI:lie::lie:
Kwa wazee wa infidelity kama sisi Ni Marufuku:
1. Kwenda gesti ambazo si self contained
2. Kukutana na mkeo kwenye nyumba za uasherati
3.Kuingia gesti kwa mlango wa mbele
4.Kufungua mlango wa chumba cha gesti kabla hujachungulia kwenye tundu la funguo (huku ukisikiliza foot steps)
5. Kuangalia nyuma au pembeni mara unapotoka kwenye lango wa chumba cha gesti
6. Kuongozana na mtenda dhambi mwenzio (mwanamke anawahi kuingia na mwanaume anawahi kutoka)
Ukizingatia yote hayo, kama wewe ni mzee wa infidelity, na mkeo naye akawa mama wa infidelity..... Haitakaa itokee mkafumaniana gesti. ASILANI:lie::lie:
Kwa wazee wa infidelity kama sisi Ni Marufuku:
1. Kwenda gesti ambazo si self contained
2. Kukutana na mkeo kwenye nyumba za uasherati
3.Kuingia gesti kwa mlango wa mbele
4.Kufungua mlango wa chumba cha gesti kabla hujachungulia kwenye tundu la funguo (huku ukisikiliza foot steps)
5. Kuangalia nyuma au pembeni mara unapotoka kwenye lango wa chumba cha gesti
6. Kuongozana na mtenda dhambi mwenzio (mwanamke anawahi kuingia na mwanaume anawahi kutoka)
Ukizingatia yote hayo, kama wewe ni mzee wa infidelity, na mkeo naye akawa mama wa infidelity..... Haitakaa itokee mkafumaniana gesti. ASILANI:lie::lie:
Mzee nimekukubali...!!! Ila jamani kuna jamaa mmoja aligongana guest house na mama mkwe wake!
chrispin,
Nimekubali
Mzee nimekukubali...!!! Ila jamani kuna jamaa mmoja aligongana guest house na mama mkwe wake!
Nimetoka mswaki, kavaluu kachupa kamoja kwa kukata kiu. Turudi kwenye mada, ukikutana na mmeo gesti utafanyaje?