Unapoelezewa kitu usiwe unafanya shughuli nyingine, kuonesha heshima

Unapoelezewa kitu usiwe unafanya shughuli nyingine, kuonesha heshima

Invisible JK

Member
Joined
Nov 8, 2019
Posts
26
Reaction score
75
960x0.jpg

Natumaini kila mmoja ni mzima wa afya. Kuna vitu binadamu yatupasa tuoneshani japo kidogo na kumsikiliza mtu nakuelewa.

HIli tunakutana nalo sana baina ya sisi watanzania unakuta mtu unafika na brochures unampatia mtu asome huku unamuelezea.

Limenikuta niliingia ofisi moja ipo vingunguti inahusika na uuzaji wa BMW nikatoa brochures yangu.

Kama kawida yangu nikaingia ofisini nikakutana na secretary tukasalimiana maana ile ofisi imekaa tofauti nikaanza kumuelezea binti anaendelea kucheza game nampa na brochures binti anaendelea kucheza game ikafika mda sasa nikapata hasira bado napo asikilizi.

Jaribu kuoneshsa heshima kidogo hata kama akifai hicho kitu.
 

Natumaini kila mmoja ni mzima wa afya. Kuna vitu binadamu yatupasa tuoneshani japo kidogo na kumsikiliza mtu nakuelewa.

HIli tunakutana nalo sana baina ya sisi watanzania unakuta mtu unafika na brochures unampatia mtu asome huku unamuelezea.

Limenikuta niliingia ofisi moja ipo vingunguti inahusika na uuzaji wa BMW nikatoa brochures yangu.

Kama kawida yangu nikaingia ofisini nikakutana na secretary tukasalimiana maana ile ofisi imekaa tofauti nikaanza kumuelezea binti anaendelea kucheza game nampa na brochures binti anaendelea kucheza game ikafika mda sasa nikapata hasira bado napo asikilizi.

Jaribu kuoneshsa heshima kidogo hata kama akifai hicho kitu.

Mkuu ukichukulia kila kitu serious ni hatari kwa afya yako ,wewe timiza wajibu wako kisha amsha popo.
 
Hahahah hakuna wanawake wagumu kuwashauri kama:
1.Aliyependa
2.Ambaye ana kibarua kwenye kampuni au ofisi kubwa kubwa.
 
Back
Top Bottom