rofa la tz
Member
- Sep 5, 2015
- 16
- 12
Jamani wana JF naomba kuuliza hivi unapoenda ukweni unatakiwa uzingatie hasa vitu gani maana nasikia ukienda ukweni huwa kuna utaratibu mwingi sana naomba mnifahamishe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na asikae sana akizidi sana akae masaa matatu hapo ni umezidisha sana...😃Pesa
Pesa
Pesa
KAZI ni kipimo cha UTU
Ahakikishe anafuata desturi na vinavotakiwa huko ukweni