Unapoenda ukweni unatakiwa uzingatie nini?

1. Unaenda na Wife? Fikia hotel ya karibu, mchana unatimba ukweni kusalimia, mkifikia ukweni utashindwa kumgegeda wife kwa uhuru
2.Kibunda usikose.
 
Hakikisha ni mgeni njoo mwenyeji apone.

Sio uende na kende zako tu halafu utarajie kuchinjiwa jogoo.

Ila pia ukweni sio pakuwekea mazoea sana. Ni kuingia na kutoka tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…