Unapofuta namba ya simu......

hakuna haja ya kujinadisha kila mara akijidai kila siku kaibiwa cm na wewe mpotezee tu!
 
tafakari chukua hatua na kama vipi mpe vipande vyake huyu kiumbe..

na kama limekupata hilo pole sana mkuu na lazima atakuwa ni mwanamke huyo..
 
Jamani, visimu vingine vidogo only 250 contacts. So mtu akipata namba yenye umuhimu sana, anachofanya ni kuangalia ipi isiyotumika mara kwa mara ili a-replace.
 
bs miji2 mingne mwaka unaisha hajaku2mia japo sms. Ila cku ukimfuta lazma akupigie!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…