haya maswali mengine bana!
unataka niseme nitalibadilisha au?
ndo sababu hutakiwi kufuatilia sana vitu ambavyo hata usipofuatilia havina athari.
umegundua sasa, na ulisha muoa mama yake, na ulishambatiza mtoto.
unaanza kuumia kichwa buure.kumbe hata usingefuatilia isingekua na tatizo.
jamani! msipende sana kutafta opportunity ya kuwa doubt wapenzi wenu manake lazima mtazipatatu!
hata wao wakitafuta za ku wa doubt ninyi watazipatatu, mwisho wa hizi doubt ni kutokuepo kwa imani kwa mwenzio
na hatimae mtafaruku kwa mapenzi yenu.
Habari wana JF
Nimekuwa nikijiuliza kwa namna fulani suala la uchaguzi wa jina la mtoto.
Mfano, mmezaa mtoto na mpenzi wako.
Wakati wa kupendekeza jina kwa mtoto, mpenzi wako akawa anasisitiza sana apewe jina fulani. Ukakubaliana nae.
Baada ya muda fulani, ukaja gundua kwamba hilo la mwanao ni jina la X-lover wa mpenzi wako
Utajisikiaje, au utafanyaje??
Habari wana JF
Nimekuwa nikijiuliza kwa namna fulani suala la uchaguzi wa jina la mtoto.
Mfano, mmezaa mtoto na mpenzi wako.
Wakati wa kupendekeza jina kwa mtoto, mpenzi wako akawa anasisitiza sana apewe jina fulani. Ukakubaliana nae.
Baada ya muda fulani, ukaja gundua kwamba hilo la mwanao ni jina la X-lover wa mpenzi wako
Utajisikiaje, au utafanyaje??
Kuna ubaya gani? Binti yangu nimempa jina la binti niyempenda akanitolea nje ikiwa ndio njia pekee ya kumsahau
Haya mambo yapo lakini. Kuna jamaa alisoma na hubby mwanae ana jina la binti nilyesoma nae mimi. Hubby aliwahi nambia kuwa jamaa alikuwa anamzimikia vibaya sana huyo binti ila sidhani kama aliwahi kumchukua. Hiyo stori alinambia wakati tuko wote college. Mume wangu hajuhi jina la mtoto wa huyo jamaa kwani they were not that much close na urafiki si wa kiivyo hasa baada ya kumaliza shule. Mimi najua kuwa mtoto wao ana jina la yule binti kwani nawafahamu wote huyo wife na binti mwenye jina. What I think ni kuwa mke hajuhi kuwa mumewe alikuwa amemzimikia mdada mwenye jina la binti yao. Siwezi kuthubutu kusema na najua mkewe hatakaa ajue.
Tafadhari andika jinsia yako (mwanaume/mwanamke) na kisha eleza uhusiano wako na yeye kama ni ndoa, wapenzi mnaoishi pamoja kwa muda mrefu au mfupi na jinsia ya mtoto. Pia eleza jamii inayowazunguka inawatambuaje! Baada ya hapo nitatoa ushauri wangu kutegemea na taarifa nilizoomba. Nina mfano wa kesi yako, inayomhusu rafiki yangu wa karibu
Haya yote yanatokana na sie wazazi wa siku hizi kujitia tunakwenda na wakati...wazee wetu walikuwa wanajua majina na maana ya majina ya watoto wao kwa kuwa they used to name them after their relatives and elders. Sasa siku hizi na hizi imani za flani ana tabia mbaya so mtoto akirithi jina lake atakuwa kama yeye, sijui ni jina korofi n.k. ndo hapo kila mtu anatoa jina alipendalo, nasi tunakubali pasipojiuliza linakotokea (na siku hizi kuna vitabu na sites za majina) Mwe!!
Kuna ubaya gani? Binti yangu nimempa jina la binti niyempenda akanitolea nje ikiwa ndio njia pekee ya kumsahau