Unapogundua unachapiwa kwa asie mke wako wala usimumize mchapaji, Mzigo ni mali yake na anaamua zamu hakuna anayemmiliki.

Unapogundua unachapiwa kwa asie mke wako wala usimumize mchapaji, Mzigo ni mali yake na anaamua zamu hakuna anayemmiliki.

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Kama mwanamke hujamlipia mahari, kwao hawakujui ama mnajuana juu juu, hujakabidhiwa uishi nae, n.k. hasira za kulipiza kisasi unazotoa wapi kwa mali isiyo yako ???

1723819086273.png
 
Hiyo ni hulka ya wanaume wengi nikiwemo Mimi sijui tukoje au wewe umejitoa
 
Acha visingizio, unatembeaje na mke wa mtu kisa tu hajalipiwa mahali?
Kuna jamaa yangu ameona. Pia ana mchepuko ambaye ni mke sa mtu. Siku moja kapata story kuwa mchepuko wake umeingizwa lodge na fala mmoja ambae siye mume wa huyo mchepuko. Jamaa s akaenda kufu.mania....
 
Back
Top Bottom