Unapogundua unachapiwa kwa asie mke wako wala usimumize mchapaji, Mzigo ni mali yake na anaamua zamu hakuna anayemmiliki.

Hiyo ni hulka ya wanaume wengi nikiwemo Mimi sijui tukoje au wewe umejitoa
 
Acha visingizio, unatembeaje na mke wa mtu kisa tu hajalipiwa mahali?
Kuna jamaa yangu ameona. Pia ana mchepuko ambaye ni mke sa mtu. Siku moja kapata story kuwa mchepuko wake umeingizwa lodge na fala mmoja ambae siye mume wa huyo mchepuko. Jamaa s akaenda kufu.mania....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…