Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Unapohisi kum miss mtu aliye mbali nawe, ukumbuke mwezi.
Licha ya kuwa umbali wa maelfu ya maili, Lakini uko karibu zaidi kuliko vile unavyofikiria, maana unautazama mwezi huo mmoja Kula usiku.
Unapohisi kupotea na kutokuwa na uhakika na kuchanganyikiwa, fikiria kuhusu mwezi. Ni mwezi uleule uliokuwa ukiutazama kwa macho ya matumaini ulipokuwa mtoto mdogo. Haujawahi kubadilika.
Unapopata hofu na siku zijazo na wakati unakimbia, fikiria kuhusu mwezi. Ukiwa na umri wa miaka 80, utautazama mwezi uleule utakaouona usiku wa leo, kwa macho ya machozi, na kujivunia utasonga mbele na kushukuru sana kwa maisha ambayo umeishi.πͺπΏππΏ
Na unapofikiri huna chochote kilichobaki, bado kumbuka una mwezi wa kuutazama usiku wa leo.. Utakaokumulikia na kukuongoza kwenye kiza tororo cha kukata tamaa, wasiwsi na mapito ya maisha
Licha ya kuwa umbali wa maelfu ya maili, Lakini uko karibu zaidi kuliko vile unavyofikiria, maana unautazama mwezi huo mmoja Kula usiku.
Unapohisi kupotea na kutokuwa na uhakika na kuchanganyikiwa, fikiria kuhusu mwezi. Ni mwezi uleule uliokuwa ukiutazama kwa macho ya matumaini ulipokuwa mtoto mdogo. Haujawahi kubadilika.
Unapopata hofu na siku zijazo na wakati unakimbia, fikiria kuhusu mwezi. Ukiwa na umri wa miaka 80, utautazama mwezi uleule utakaouona usiku wa leo, kwa macho ya machozi, na kujivunia utasonga mbele na kushukuru sana kwa maisha ambayo umeishi.πͺπΏππΏ
Na unapofikiri huna chochote kilichobaki, bado kumbuka una mwezi wa kuutazama usiku wa leo.. Utakaokumulikia na kukuongoza kwenye kiza tororo cha kukata tamaa, wasiwsi na mapito ya maisha