GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Waswahili ndyo hao ambao huambiwa maneno hayo kwa kuogopa uchawi na wangaUnajua au unamkuta kabisa Mtu anajenga Nyumba yake nzuri tu na Kubwa halafu utamkuta anamwambia Mtu kuwa nilikuwa site najenga Kakibanda Kangu au nilikuwa najenga ka Kimjengo kangu. Sasa unavyojishusha Kwetu ni kwamba tukuonee Huruma au unatuona Sisi Wachawi / Wanga au ni Ushamba tu unakusumbua?
mshambaUnajua au unamkuta kabisa Mtu anajenga Nyumba yake nzuri tu na Kubwa halafu utamkuta anamwambia Mtu kuwa nilikuwa site najenga Kakibanda Kangu au nilikuwa najenga ka Kimjengo kangu.
Sasa unavyojishusha Kwetu ni kwamba tukuonee Huruma au unatuona Sisi Wachawi / Wanga au ni Ushamba tu unakusumbua?
You need Jesus.Ukinianza Mimi namaliza hapo hapo. GENTAMYCINE nikiwa NACHOKOZWA, NATUKANWA, NADHALILISHWA na KUSHAMBULIWA Kutwa na hawa hawa WAPUMBAVU huwa hamjitokezi kama hivi kwa KUWASHWAWASHWA Kwenu KUWAKEMEA ila nikianza tu kujibu Mapigo yangu ya Benjamin BIBI Netanyahu ndiyo KINAFIKI kabisa mnajitokeza na Kuona Mimi ndiyo MKOSAJI na MTUKUTUKU maarufu hapa. Na bahati nzuri nina PhD ya Majibu ya hovyo / mabaya hapa na bado sijaona wa Kushindana nami hata wakiwa / mkiwa 100 kwa wakati Mmoja na Mimi JESHI LA MTU MMOJA peke yangu.
Kutwa tu MNAHUBIRI kunichukia GENTAMYCINE hapa JamiiForums lakini bado huwa MNANYEGIKA nami ili Niwanyooshe.
Wasambazie ujumbe huu Muhimu wale damn Morons na Hypocrites Wenzako wote sawa? Mimi ndiyo GENTAMYCINE.
I have him long time ago and that's why I'm this Brainiac and you're that Dunce.You need Jesus.