Unapokuwa na kazi hakikisha unakuwa kampuni au biashara ya kukupa kipato mbali na mshahara

Unapokuwa na kazi hakikisha unakuwa kampuni au biashara ya kukupa kipato mbali na mshahara

Bata batani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
3,217
Reaction score
3,694
Kwa wale vijana wenzangu mnaofanya kazi kwa dunia ya leo inavyokwenda unapokuwa na kazi hakikisha kwa pembeni una biashara yako au kampuni yako ya itayokuwa inakupa kipato.

Mambo ya makazini hayaeleweki muda wowote unaweza kupigwa chini hivyo unapokuwa unapata mshahara na viposho posho hakikisha unavitumia kutengeneza kitu cha pembeni cha kukupa kipato tofauti na mshahara hata kesho na kesho kutwa ukipigwa chini bado una sehemu ya kujishikiza ambayo itakuwa inakusaidia kuendesha familia yako na maisha yako.

Nazungumza hivo kwa sababu kuna brazaa hapa napofanyia kazi kapigwa chini kazini alafu ana familia na hana issue yoyote ya kumuingizia kipato na kazini ana muda mrefu sana kidogo.

Huko alipo akili haijakaa sawa kabisa.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
haya mambo yana bahati yake unaweza kufungua biashara ikawa ndio mtaji wa msimamizi, we unaishia kutoa mshahara wako kuhudumia biashara, mwenzio anafungua ya kwake. Tumbafu acha tunywe tu bia
Na hilo ndo jambo linalofanya nisifungue biashara yoyote,mie nawawekea visalio wanangu kwenye zipu akaunt ya nmb,kuliko kufaidisha mbuzi mmoja.
 
Mfano upo single, upo mkoa wa mbali na nyumbani na umeajiriwa. Je, Ni kazi/ biashara gani unaweza kuifanya ili usitegemee mshahara. Kumbuka upo single na upo ugenini
Hii nayo ni changamoto, alafu unakuta kazi inakuhitaji mpaka j'mosi ahalf day.
 
nimeajiriwa na pia ni Mjasiriamali... acha tu... Utamu wa Ngoma uingie Ucheze
Mkuu umeoa tayari? Je kazi yako inakupa muda wa kujishugurisha na mambo yako binafsi baada ya muda wa kazi?
Challenge kubwa kwa vijana ni muda na Starehe. Kale kamuda kidogo tunachopata ndio tunautumia kupumzika. Ila Kama una ubavu wa pili unaojielewa, Mambo yanasonga.
Sio mbaya ukishare uzoefu na ndugu zako hapa kaka
 
Watu wanaongeleaga kua na kitu pembeni as if ni kitu rahisi sana.

Biashara inahitaji usimamizi tena usimamizi mkubwa. Watanzania wengi ni wazembe ukiwaachia biashara yako wataifilisi na wao hawana cha kupoteza.

Unapokua unawapa watu mawazo, usisahau kuwafundisha how to do it and to overcome all the challenges
 
Kwa wale vijana wenzangu mnaofanya kazi kwa dunia ya leo inavyokwenda unapokuwa na kazi hakikisha kwa pembeni una biashara yako au kampuni yako ya itayokuwa inakupa kipato.

Mambo ya makazini hayaeleweki muda wowote unaweza kupigwa chini hivyo unapokuwa unapata mshahara na viposho posho hakikisha unavitumia kutengeneza kitu cha pembeni cha kukupa kipato tofauti na mshahara hata kesho na kesho kutwa ukipigwa chini bado una sehemu ya kujishikiza ambayo itakuwa inakusaidia kuendesha familia yako na maisha yako.

Nazungumza hivo kwa sababu kuna brazaa hapa napofanyia kazi kapigwa chini kazini alafu ana familia na hana issue yoyote ya kumuingizia kipato na kazini ana muda mrefu sana kidogo.

Huko alipo akili haijakaa sawa kabisa.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Ikitokea umepata hiyo situation akili huwa ina charge sanaa... una anza kuona fursa nyingi sana za biashara na michongo kibao.. But ukiwa ujapata izo challenges huoni izo fursa.. Asante
 
Wazo nzuri

Kwa wale vijana wenzangu mnaofanya kazi kwa dunia ya leo inavyokwenda unapokuwa na kazi hakikisha kwa pembeni una biashara yako au kampuni yako ya itayokuwa inakupa kipato.

Mambo ya makazini hayaeleweki muda wowote unaweza kupigwa chini hivyo unapokuwa unapata mshahara na viposho posho hakikisha unavitumia kutengeneza kitu cha pembeni cha kukupa kipato tofauti na mshahara hata kesho na kesho kutwa ukipigwa chini bado una sehemu ya kujishikiza ambayo itakuwa inakusaidia kuendesha familia yako na maisha yako.

Nazungumza hivo kwa sababu kuna brazaa hapa napofanyia kazi kapigwa chini kazini alafu ana familia na hana issue yoyote ya kumuingizia kipato na kazini ana muda mrefu sana kidogo.

Huko alipo akili haijakaa sawa kabisa.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Habari wanajukwaa mimi ni kijana umri 25 nina elimu ya form six nahitaji kazi yoyote maofisini, n.k nipo tayari kabisa kufanya kazi nipo Kilwa - LINDI
Contacts:+255623217775 AU +255658719467
 
Mfano upo single, upo mkoa wa mbali na nyumbani na umeajiriwa. Je, Ni kazi/ biashara gani unaweza kuifanya ili usitegemee mshahara. Kumbuka upo single na upo ugenini na kazi inakuhitaji uwe ofisini kwa masaa nane, weekend na holiday.
Unataka utafuniwe. Ambao inawahusu nadhani wameelewa ama unataka ku prolong maongezi
 
Back
Top Bottom