Unapokwenda kuhubiri Injili Uhayani hili neno litumie kwa hekima

Unapokwenda kuhubiri Injili Uhayani hili neno litumie kwa hekima

Kyenju

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2012
Posts
4,632
Reaction score
1,773
Wengine watafikiri labda nimepotea njia, hapana, ila napenda kutoa angalizo kwa wanao/watakaokwenda kuhubiri injili pande za uhayani wasije wakashutuka mara baada ya kulitaja neno lenye herufi 4.

Biblia inasema wana wa Islael wakati wakitoka Misri kwenda Kaanani, wakiwa jangwani walikula Mana. Sasa hili neno "mana" kwa Wahaya ni neno la faragha likimaanisha maungo ya mwanamke (uke).
 
MMMmmmmh ama kweli!!! Ila ni kweli pale sehemu ni Mana jamani, mtu unanogewa hadi unakuwa na hati miliki!!! AAAaaah hiyo kitu kweli ni MANA! Kitu Tamuuuuuu!:smile-big::smile-big::smile-big:
 
Kwa hiyo biblia nzima ukaona mana tu, kweli ndio maana Joshua kawafanya mtaji.
 
Kwa hiyo biblia nzima ukaona mana tu, kweli ndio maana Joshua kawafanya mtaji.

Hii ni tahadhari mkuu, maana jamaa kaenda kuwahubiri wazee, kwa kiswahili wakamtoa mbio wakisema kawatukana.
 
Wengine watafikiri labda nimepotea njia, hapana, ila napenda kutoa angalizo kwa wanao/watakaokwenda kuhubiri injili pande za uhayani wasije wakashutuka mara baada ya kulitaja neno lenye herufi 4.

Biblia inasema wana wa Islael wakati wakitoka Misri kwenda Kaanani, wakiwa jangwani walikula Mana. Sasa hili neno "mana" kwa Wahaya ni neno la faragha likimaanisha maungo ya mwanamke (uke).

habari ndugu! nakuomba usifanye utani na maneno matakatifu ya mungu,ni hatari sana.samahan kama nimekukwaza.
 
Back
Top Bottom