Unapomsikia Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mstaafu Ole Sabaya akidai kesi yake ni "ya Kutengenezwa" unajifunza nini?

Unapomsikia Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mstaafu Ole Sabaya akidai kesi yake ni "ya Kutengenezwa" unajifunza nini?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Jana nilishtuka baada ya kumsikia aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai na Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama wa eneo hilo akidai kuwa kesi yake ya Uhujumu uchumi ni ya "Kutengeneza"

Nabaki najiuliza kumbe kuna kesi halisi na kesi za Kutengeneza?

Kwa wadhifa aliokuwa nao Ole Sabaya serikalini najikuta nalazimika kumuamini.

Kama Ole Sabaya anaweza kutengenezewa kesi inakuwaje kwa wapinzani kama akina Freeman, Sugu na hata yule Dude wa Songwe?

Dunia inaenda kasi sana kuelekea mwisho wake.

Maendeleo hayana vyama!

1642585930894.png
 
N vile hakuna wa kumsemea bwana Ole Sabaya

Angekuwa mpinzan angepata wa kumsemea.

Ukwel n kwamba tukiwa na nafas za uongozi tutende haki tusidhihaki watu

Hiv leo ANTHON MTAKA atengenezewe kesi unadhan wewe hautashtuka? Lazma ushtuke sababu jamaa hana siasa Wala uongozi wa kibaguz Kama akina sabaya yeye ana deal na matatizo ya wananchi na si siasa za wananchi
 
Maana yake amekutwa na ushahidi hivyo ameshindwa kujitetea
 
Sasa unajiuliza nini? Hata wewe hujui ukitaka matajiri wafate haki Kwa kulipa kodi ya kiwango chao hawapendi na watakutafutua kila namna ya kukuumiza kupitia watu wako hao hao kwa nguvu ya pesa, ukitazama kesi ya Sabaya Kuna kitu unaona, ukitazama VIFO vilivyo tokea ktk uongozi mpaka ngazi ya juu kwa Hayati unaona wazi Kuna muda tulivamiwa kama nchi, either na wageni au wenyeji wenye uchu wa madaraka na pesa au vyote
 
Sasa unajiuliza nini? Hata wewe hujui ukitaka matajiri wafate haki Kwa kulipa kodi ya kiwango chao hawapendi na watakutafutua kila namna ya kukuumiza kupitia watu wako hao hao Kwa nguvu ya pesa, ukitazama kesi ya Sabaya Kuna kitu unaona, ukitazama VIFO vilivyo tokea ktk uongozi mpaka ngazi ya juu kwa Hayati unaona wazi Kuna muda tulivamiwa kama nchi, either na wageni au wenyeji wenye uchu wa madaraka na pesa au vyote
Duh.....nimekuelewa kwa lazima bwashee!
 
Kwahiyo unakubali kuna kesi za Kutengeneza!!
Matendo yake pale HAI ndyo yameacha makovu

Kauli zake pale HAI ndizo zimeleta sintofahamu leo

Kifupi tutende Yale majukumu ya kazi yako usivuke mipaka

Matendo tofauti ya Kaz zake ndyo yamemfikisha hapo alipo Sasa

UPINZANI UMEUMIZWA SANA PALE HAI

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Huyu alistahili kufungwa hata bila kesi aache kutuchezea akili.

Kwasababu amezoea kutengenezea watu kesi basi anaona na yeye wamemtengenezea. kesi za kutengeneza haziwezi kuwa na ushahidi wa cctv camera
 
Huyu alistahili kufungwa hata bila kesi aache kutuchezea akili.

Kwasababu amezoea kutengenezea watu kesi basi anaona na yeye wamemtengenezea. kesi za kutengeneza haziwezi kuwa na ushahidi wa cctv camera
Kufungwa bila kesi kwa mujibu wa katiba gani bwashee?
 
Aliyevamia hoteli ya Mbowe na gari zenye namba feki za umoja wa mataifa alikua ni nani?

Kila siku nasema awamu ile ilikua na washamba wengi sana yaani hata kulinda diplomasia walikua hawajali wanafikiri duniani unajiendea tu bila kushirikiana na wenzako.

Hivi mnajua huo ujinga wa kutumia Chartered Diplomat number umeligharimu taifa kiasi gani?
 
Back
Top Bottom