Mmh kama wewe ndo mshindi hayo mengine unatakiwa kuyapotezea.. especially sifa unazosikia juu yake!Hata usipomjua haipunguzi uhalisia!Suala sio kujiamini au wasiwasi maana ka ni hivyo angekuwa naye kwao! Mi ndo mshindi ati. Mimi nimesema kwa binafsi yangu huwa nakuwaga na kinyaa sijui wengine! Utakuta mko kwenye taasisi fulani na kila mtu anajua kuwa fulani ni wa fulani lakini naye anataka akajipime naye. Mi binafsi siwezi na sitaki kujua alokutumia!
WASIWASI!Kwahiyo unakua hujiamini?
Wandugu hivi unapomuoa mwanamke ambaye amezaa/alishaolewa na mwanamume mwingine, huko mbele ya safari hukumbuki alichokuwa anakifanya KITANDANI NA MUME mwenzio na kuona umepotea!!!!
kujiamini na kuona kinyaa ni vitu viwili tofauti!
Wandugu hivi unapomuoa mwanamke ambaye amezaa/alishaolewa na mwanamume mwingine, huko mbele ya safari hukumbuki alichokuwa anakifanya KITANDANI NA MUME mwenzio na kuona umepotea!!!!
Sasa kati ya mwanamke ambaye amekuwa na mwanamme mmoja tu maishani mwake, maana mumme wake aliyeachana naye baada ya kuwa na mtoto, na mwanamke ambaye hajaolewa wala kuzaaa lakini kashaenda chini na wanaume 200, yupi ana afadhali ?
Utakufa siku si zako..........ukimaliza kumuwazia mkeo utaanza na kwa mama yako!
Nami napitaAhahahaaaa. Napita tu!
Power relations in any given society. Societal gender in- equalities are among the factors informing the power relations of the intimate realm it is only disempowered poverty stricken women.Apart from obsession with the supernatural, there is a proven obsession with unjustifiable sexual chastity among poverty stricken societies.
Mada nyingine bana,haya mi nilikuwa naye na alikuwa tayari na watoto wawili wakubwa tu na mwingine alikuwa na watoto kama wanane na wote wawili walikuwa wameachika lakini ile ya mwenye watoto wanane ndio ilikuwa bomba kiasi cha kunifanya nikaribie kutangaza ndoa.
Na mwanaume aliye na watoto na alishaoa na kuacha ????
Wandugu hivi unapomuoa mwanamke ambaye amezaa/alishaolewa na mwanamume mwingine, huko mbele ya safari hukumbuki alichokuwa anakifanya KITANDANI NA MUME mwenzio na kuona umepotea!!!!
Gaga niko hapa Clarendon Road nyumba yenu ni ipi niko kwenye gari ina rangi nyeupeUshamuoa umemchoka sasa unamtafutia vijisababu. acha hizo ondoa mawazo mabaya