Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Ile hali ya kupizi inapimwa kwa kifaa kinaitwa synapsis reflex orgasm.....Yaani sijui niwekeje
Hivi ile raha ya kupiz inapimwa kwa kipimo gani ili tuweze kuoweka kimahesabu tuki estimate ya madawa
Kwa nfano kile kipimo cha tetemeko sinui ritcher scale
Ukiweza kulipima may be unaweza piga times 10 ukapata la madawa
Mdau kasema ni mara 10 ya kupiz
KudadekiiiiiiiMwenzako mpaka nikabana miguu hapa 😂😂😂😂
Wee assume tuuu ahahahaKudadekiiiiiii
Tafuta tuone kama ni kweliIle hali ya kupizi inapimwa kwa kifaa kinaitwa synapsis reflex orgasm.....
Wanasema ile hali anayopata mtu mda wa kupizi ni 300^-34rex .....
Ile feeling unayopata baada ya kuonana na mtu ambaye unampenda ni 43^-22rex
Mtu anapotolewa uhai pale mwishoni mwoshoni 316^-30rex
Hii ya teja nipe mda natafuta hapa mkuu
Nesi gani huyo mkuu?Napata picha tulivyopoteza nurse jasiri
Kataa Ndoa ndio wanaotuzalia vyuma kama hivi...Huwa natamani kukaa na vijana Kama hawa na kuwajenga KIAKILI na kuwarudisha Katika jamii ili waweze kuwa na tija katika familia zao na jamii kwa ujumla.
Nawaza kuja kufanya project Kama hii kwa kushirikiana na wadau mbalimbali
Kuna wazazi wanaumia
Kuna ndugu wanaumia
I hope one day nitafanya kitu in my society.
It is pain when you see ur friend or relative is under addicts's control.
Sawa mkuu ngoja nifanye kituTafuta tuone kama ni kweli
Yaani mpaka sasa hivi sijawah kuona au kupata au kuhisi kama kuna furaha /raha zaidi ya climax kwa kweli
Jidanganye tu. Muda ni jibu tosha, endelea kujiokoteza na kujipanga kimaisha.naokoa pesa
sipati UTI
sipati Gono
sipati MPox
sipati HPV
sipati Herpes
sipati Pangusa
ARV nazisikia kwenye bomba
Mungu awasaidie. Hao watu wanateseka sana kwa kweli. Wanatamani kutoka ila hawawezi.Inaumiza sana, ata kwetu pia
Ni safari ndefu sana hiyo na ni vita Kwa upande mwingine Kwa maana shida si hao ni kwanzia wanaozingiza chini mpka kuwafikia hao, ni cheni Yani watu wengi....mbaya zaidi wakiwa addicted ni ngumu kurudi kwenye Hali ya kawaida japo inawezekana. Ila inahitajika uwe na uwezo kuanzia wa kiuchumi,kwaajili ya malazi,dawa na hata kulipia gharama nyingine kama madaktari n.k....Wazo naimani Kuna siku utalikamilisha lipambanie kumbuka tu utapigwa sana vita kwenye Hilo....Kila la kheri.Huwa natamani kukaa na vijana Kama hawa na kuwajenga KIAKILI na kuwarudisha Katika jamii ili waweze kuwa na tija katika familia zao na jamii kwa ujumla.
Nawaza kuja kufanya project Kama hii kwa kushirikiana na wadau mbalimbali
Kuna wazazi wanaumia
Kuna ndugu wanaumia
I hope one day nitafanya kitu in my society.
It is pain when you see ur friend or relative is under addicts's control.
mb<><> yako au yangu ?Jidanganye tu. Muda ni jibu tosha, endelea kujiokoteza na kujipanga kimaisha.
Hakuna mwanaume mtu mzima na rjali anayesimama na kujivunia kupiga punyeto. Kuna shida sehemu.
Hio kama nyeto tu maana wote mnajichukulia sheria mkononiavune alichokipanda, hakuna namna
hapana na nyeto sipati ngoma, hao wanachangia sindano, ngwengwe nje njeHio kama nyeto tu maana wote mnajichukulia sheria mkononi
Hapo kwenye umeme ndo balaahapana na nyeto sipati ngoma, hao wanachangia sindano, ngwengwe nje nje
Zungu unasema maneno gaani wewe ?avune alichokipanda, hakuna namna
Mmoja wapo tu wa visababishi, sio chanzo kikuu.Haya ni matokeo ya kuwatelekeza drop outs after standard 7 ambao ndiyo wengi zaidi kuliko walioendelea na masomo
Mazingira utayaoamua yaongoze maisha yako yatakupa kila nyenzo unayohitaji katika njia yako.Navoogopa sindano,,ivi hua hawaumii
na hua wanazipata wapi,au ndo wakiotea moja ndo hio hio kila siku?