profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,595
- 3,416
Wakuu naomba msaada kwa anaejua,
unapoosha sehemu ya mbele ya injini,ni vitu gani havitakiwi kuloweshwa na maji,,msaada please mi najua tu alternator.
Gari yangu ni Toyota Noah.
unapoosha sehemu ya mbele ya injini,ni vitu gani havitakiwi kuloweshwa na maji,,msaada please mi najua tu alternator.
Gari yangu ni Toyota Noah.