Unapopigiwa simu na wife halafu akauliza uko wapi ujue kuna kitu kinafuatia
Wife:uko wapi
Me:kazini
Wife😛itia maziwa
Wife uko wapi
Me:chumbani
Wife:angalia bomba ya bafuni inavuja
Wife: Uko wapi
Me:sebuleni
Wife: Washa pump ya maji
Wife:uko wapi
Me:nje
Wife:Mwagilia matofali
Wife uko wapi
Me:Kigoma
Wife:njoo na migebuka
Wife: Uko wapi
Me:Morogoro
Wife: Njoo na viazi
Wife: Uko wapi
Me Baa nakunywa
Wife: Njoo na soda za watoto[emoji2][emoji2][emoji2]
YANI POPOTE ULIPO LAZIMA KUWE NA KITU MUAFAKA CHA KUKUTUMA
Wanaume tuna kazi....