Ukiwa geti la kwanza, upande wa mandela roads kwenye kituo cha kuzalisha umeme songas kuna tangazo hili, hivi kisheria imekaaje tangazo kama hilo wakati sehemu hiyo inavyoonesha ni hatari na sio salama kwa kuvuta sigara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.