Ilikuwepo moja Iringa miaka ya 2007 kama sijakosea nadhani ilikuwa Upendo nasikia watu wa viwango waliipiga bit sijui iliishia wapi?Ila wachina wananiwahi sana,sina mtaji tu na niko bongo;
Imagine hii idea ya kuweka basi za hivi ninayo siku nyingi sana,japo zipo na zingine ila zangu nitapeleka costech niombe hatimiliki tu;
Naona stability na ajali kidogo sana,toa uzembe wa driver na ubora wq barabara;
Youtong Mende inameza wangapi humo ndani
Ila wachina wananiwahi sana,sina mtaji tu na niko bongo;
Imagine hii idea ya kuweka basi za hivi ninayo siku nyingi sana,japo zipo na zingine ila zangu nitapeleka costech niombe hatimiliki tu;
Naona stability na ajali kidogo sana,toa uzembe wa driver na ubora wq barabara;
Bryson Makundi kutoka hapo old moshi,makazi morogoroHivi mmiliki wa hizi BM ni mzawa?
Sawa SawaBryson Makundi kutoka hapo old moshi,makazi morogoro