mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 313
Ndani ya nyumba moja ilio na vyumba 4 ambavyo vinapangwishwa katika vyumba hivyo kimoja wanakaa mtu na hawara wake ambapo Mwanamke mwenye asili ya Tanga anasadikiwa kumuuu mwnaume wake huyo ingwawaje mwanamke huyo anasema kua mwanaume huyo amejitundika mwenyewe.
Ndani ya Choo ilikutikana maiti ambayo imewapa watu wasiwasi kua marehemu hakujinyonga bali aliuliwa kisha muili wake kuenda kutundikwa chooni na kusingiziwa kua marehemi amejitundika.
Muonekano wa mazingira ya kujitundikia ni kama haya yafuatayo:-
1. Mwili wa marehemu ulikutikana chooni ukinighinia kwa kutundikwa kwa kanga
2. Urefu wa kutoka katika sakafu hadi katika boriti ambayo inasadikiwa marehemu kujitundika ni futi 7 tu.
3. Marehemu alikua na urefu wa futi 5.5 ama sita kasoro kidogo.
4. Marehemu alikua uchi katika kitanzi hicho na bukta yake ilionekana chini karibu na sink la choo.
5. Mwili wa marehemu ulikua na tofauti ya nchi moja Baina ya magoti na sakafu ya choo
6. Vidole ya gumba vya miguu viligusa sakafu ya chooo
7. Maiti haikuonekana na kinyesi wala kipovu mdomoni
Jeeee wanasheria kwa hali hiii tunasemaje juuu ya hili tulio inawezekana kweli mtu kujinyonga wakati miguu yake inagusa chini?
Katika nyumba hio nani atakua mtuhumiwa wa tukio hilo?
Jeee u aweza kumshtaki mwanamke wake kwa kosa la kuumuuwa mwanaume wake?
Ndani ya Choo ilikutikana maiti ambayo imewapa watu wasiwasi kua marehemu hakujinyonga bali aliuliwa kisha muili wake kuenda kutundikwa chooni na kusingiziwa kua marehemi amejitundika.
Muonekano wa mazingira ya kujitundikia ni kama haya yafuatayo:-
1. Mwili wa marehemu ulikutikana chooni ukinighinia kwa kutundikwa kwa kanga
2. Urefu wa kutoka katika sakafu hadi katika boriti ambayo inasadikiwa marehemu kujitundika ni futi 7 tu.
3. Marehemu alikua na urefu wa futi 5.5 ama sita kasoro kidogo.
4. Marehemu alikua uchi katika kitanzi hicho na bukta yake ilionekana chini karibu na sink la choo.
5. Mwili wa marehemu ulikua na tofauti ya nchi moja Baina ya magoti na sakafu ya choo
6. Vidole ya gumba vya miguu viligusa sakafu ya chooo
7. Maiti haikuonekana na kinyesi wala kipovu mdomoni
Jeeee wanasheria kwa hali hiii tunasemaje juuu ya hili tulio inawezekana kweli mtu kujinyonga wakati miguu yake inagusa chini?
Katika nyumba hio nani atakua mtuhumiwa wa tukio hilo?
Jeee u aweza kumshtaki mwanamke wake kwa kosa la kuumuuwa mwanaume wake?