papag
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 1,156
- 1,667
Soma kwa makini sana,
Mtu ameshuhudiwa kumjua Mungu amekubali ameokoka na anawake wawili au watatu wote amewatolea mahari, kwao anatambulika na wake nao wamekubali kuokoka, wote wake zake na watoto wameokoka.
Kuna kitu watumishi na wengi waliookoka utasikia hapa, mmeokoka tayari cha kufanya wewe mwanaume inabidi uwaache wote uwe na mke mmoja wa kwako. Kweli Biblia insema usimuache mke wa ujana.
Ukiisoma vizuri unaambiwa,
Moja ~ Usihukumu usije ukaukumiwa.
Pili ~ Inasema yaache magugu na ngano vikue pamoja Bwana atavuna siku ya mwisho.
Tatu ~ Mungu anawajua walio wake.
Nne ~ Mbinguni hawaoi wala kuolewa.
Tano ~ Ukiisoma kwa mujibu wa amri za Mungu inasema, usizini, usitembee na mtu asiye mke wako au mume wako. Sasa huyu amewaoa na mahari ametoa anatambulika kote pamoja na jamii.
Sita ~ Sulemani alioa wake mia saba, Ibrahimu alizaa na mjakazi hajiri alikuwa anaishi naye japokuwa baadaye alimfukuza kwa kosa la kumkashifu mke wake Sara.
Saba ~ Ukiisoma mwanzo anasema enendeni ulimwenguni mkazaliane na kuujaza ulimwengu, na wengi wa hali hii wanashindwa kuokoka kutokana kuwa akiokoka tu ataambiwa awaache wake zake abaki na mmoja.
Wachungaji wengi wanakimbilia muachane ubaki na mmoja.
Kumbuka kazi ya mchungaji ni kukusanya kondoo siyo kutawanya na kuwafundisha wafike mbinguni.
Kumbuka Mungu huaangalia moyo wa mtu hata kuokoka ni yeye amemshawishi aokoke.
Mwisho kumbuka wanapendana, hawana ugomvu wowote na wanawatoto. Swali hili ni la msingi inapaswa tulijue,
Unasemaje kuhusiana na hili?
Mtu ameshuhudiwa kumjua Mungu amekubali ameokoka na anawake wawili au watatu wote amewatolea mahari, kwao anatambulika na wake nao wamekubali kuokoka, wote wake zake na watoto wameokoka.
Kuna kitu watumishi na wengi waliookoka utasikia hapa, mmeokoka tayari cha kufanya wewe mwanaume inabidi uwaache wote uwe na mke mmoja wa kwako. Kweli Biblia insema usimuache mke wa ujana.
Ukiisoma vizuri unaambiwa,
Moja ~ Usihukumu usije ukaukumiwa.
Pili ~ Inasema yaache magugu na ngano vikue pamoja Bwana atavuna siku ya mwisho.
Tatu ~ Mungu anawajua walio wake.
Nne ~ Mbinguni hawaoi wala kuolewa.
Tano ~ Ukiisoma kwa mujibu wa amri za Mungu inasema, usizini, usitembee na mtu asiye mke wako au mume wako. Sasa huyu amewaoa na mahari ametoa anatambulika kote pamoja na jamii.
Sita ~ Sulemani alioa wake mia saba, Ibrahimu alizaa na mjakazi hajiri alikuwa anaishi naye japokuwa baadaye alimfukuza kwa kosa la kumkashifu mke wake Sara.
Saba ~ Ukiisoma mwanzo anasema enendeni ulimwenguni mkazaliane na kuujaza ulimwengu, na wengi wa hali hii wanashindwa kuokoka kutokana kuwa akiokoka tu ataambiwa awaache wake zake abaki na mmoja.
Wachungaji wengi wanakimbilia muachane ubaki na mmoja.
Kumbuka kazi ya mchungaji ni kukusanya kondoo siyo kutawanya na kuwafundisha wafike mbinguni.
Kumbuka Mungu huaangalia moyo wa mtu hata kuokoka ni yeye amemshawishi aokoke.
Mwisho kumbuka wanapendana, hawana ugomvu wowote na wanawatoto. Swali hili ni la msingi inapaswa tulijue,
Unasemaje kuhusiana na hili?