Unashabikia Timu gani ya Taifa?

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Ukiacha timu yetu pendwa ya taifa, Taifa Stars ni timu gani nyingine ya taifa huwa unashabikia? Taja timu yako unayoshabikia uone wenzako unaoshabikia nao.

Karibu utujuze
 
France.
Mchezaji wa Ufaransa aliebeba kombe la Dunia kabeba tena kombe la Dunia akiwa kocha wa Ufaransa,hii record ni amazing sana kwenye soka.
Didier Deschamps.
 
France.
Mchezaji wa Ufaransa aliebeba kombe la Dunia kabeba tena kombe la Dunia akiwa kocha wa Ufaransa,hii record ni amazing sana kwenye soka.
Didier Deschamps.

Lakini Didier Deschamps sio wa kwanza kufanya hivyo.

Franz Backenbeuer "The Kaiser" wa Ujerumani pamoja na Mario Zagalo wa Brazil walishafanya hivyo, kuchukua kama wachezaji na baadae kama makocha.
 
Lakini Didier Deschamps sio wa kwanza kufanya hivyo.

Franz Backenbeuer "The Kaiser" wa Ujerumani pamoja na Mario Zagalo wa Brazil walishafanya hivyo, kuchukua kama wachezaji na baadae kama makocha.
Ahsante kwa kunijuza.nakumbuka tukiwa wadogo kocha wetu wa kitaa alikua akiitwa Zagalo,kumbe kuna waliofanya maajabu huko nyuma kwenye ulimwengu wa kibumbu!
Hivi lugha fasaha ni ipi"kibumbu au kabumbu?"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…