sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Lets put negativities pembeni tucheki kidogo positive side
Sisi ni watani toka long time sema tu utani unavuka mipaka kila moja anavutia kamba kwake na ndio hapo sasa it turns out to be a battle and many think we are enemies kumbe ni watani
Tulichinacho Tz - Ke i doubt kama kuna nchi nyingine hapa afrika kipo, its a very strong bond, hata majirani zetu Uganda sijui kama wana bond hii na Warwanda, labda may be Ghana and Nigeria but I see nothing close to us.
Kuendeleza muungano baina yetu tungefanya events ambazo hatujazidiana sana ama bado hatujatest.
Kwangu nimeona tukianza na contests za ngoma za asili hii itakuwa very entertaining.
Sisi ni watani toka long time sema tu utani unavuka mipaka kila moja anavutia kamba kwake na ndio hapo sasa it turns out to be a battle and many think we are enemies kumbe ni watani
Tulichinacho Tz - Ke i doubt kama kuna nchi nyingine hapa afrika kipo, its a very strong bond, hata majirani zetu Uganda sijui kama wana bond hii na Warwanda, labda may be Ghana and Nigeria but I see nothing close to us.
Kuendeleza muungano baina yetu tungefanya events ambazo hatujazidiana sana ama bado hatujatest.
Kwangu nimeona tukianza na contests za ngoma za asili hii itakuwa very entertaining.