Unashauri kuwe na events zipi ili kustawisha undugu wa Tanzania na Kenya?

Ulichoandika yawezekana kipo sahihi lakini umekipost mahala ambako sio sahihi.

Ulichoandika hakiendani kabisa na maada, hii ni kwasababu mawazo yako yamejaa negativity tu.
Unahitaji somo la kujitambua kabla ya kuanzisha mada kama hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…