MTANZANIA620
Member
- Jun 20, 2023
- 65
- 81
Je, wajua?
Serikali ya Tanzania chini ya Marais toka awamu ya kwanza hadi sasa awamu ya Sita imechukua hatua mbalimbali kuimarisha huduma za afya nchini kwa kujenga miundombinu ya afya.
Zikiwemo zahanati, vituo vya afya, hospital za halmashauri, hospital za wilaya, hospital za mkoa, hospital za rufaa ngazi ya mkoa, hospital za kanda na hospital za Taifa, uanzishaji wa taasisi za kibingwa (MOI, Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Taasisi ya Saratani Ocean Road nk) pamoja na ununuzi na usimikaji wa vifaa tiba,
Mitambo, mashine za uchunguzi za kisasa, ununuzi wa dawa aina zote, uanzisha wa mfumo bora wa ugharamiaji matibabu kupitia bima ya afya, taasisi za mafunzo na elimu juu ya masuala ya tiba na afya kwa ujumla, kuwekeza kwa wataalam wa tiba na afya lengo likiwa ni kuboresha huduma za msingi ili kuhakikisha watanzania wanapata matibabu bora, kwa uhakika, urahisi na kwa gharama nafuu.
Swali la Leo:
Kwa maoni yako, unadhani hatua gani nyingine zinaweza kuchukuliwa ili kuboresha zaidi sekta ya afya ili iweze kutoa huduma bora zaidi kwa kila mtanzania?
#AfyaKwanza
Serikali ya Tanzania chini ya Marais toka awamu ya kwanza hadi sasa awamu ya Sita imechukua hatua mbalimbali kuimarisha huduma za afya nchini kwa kujenga miundombinu ya afya.
Zikiwemo zahanati, vituo vya afya, hospital za halmashauri, hospital za wilaya, hospital za mkoa, hospital za rufaa ngazi ya mkoa, hospital za kanda na hospital za Taifa, uanzishaji wa taasisi za kibingwa (MOI, Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Taasisi ya Saratani Ocean Road nk) pamoja na ununuzi na usimikaji wa vifaa tiba,
Mitambo, mashine za uchunguzi za kisasa, ununuzi wa dawa aina zote, uanzisha wa mfumo bora wa ugharamiaji matibabu kupitia bima ya afya, taasisi za mafunzo na elimu juu ya masuala ya tiba na afya kwa ujumla, kuwekeza kwa wataalam wa tiba na afya lengo likiwa ni kuboresha huduma za msingi ili kuhakikisha watanzania wanapata matibabu bora, kwa uhakika, urahisi na kwa gharama nafuu.
Swali la Leo:
Kwa maoni yako, unadhani hatua gani nyingine zinaweza kuchukuliwa ili kuboresha zaidi sekta ya afya ili iweze kutoa huduma bora zaidi kwa kila mtanzania?
#AfyaKwanza