Unashindwa kufanikiwa kwenye biashara, sababu unaogopa kuwekeza

Unashindwa kufanikiwa kwenye biashara, sababu unaogopa kuwekeza

Dkt Guston

Senior Member
Joined
Feb 28, 2022
Posts
105
Reaction score
119
Njia mojawapo ya kujihakikishia unakuwa mtu mwenye amani katika biashara yako ni kua na wateja na mauzo mengi kila siku.

Donald Muller aliwahi kusema "Biashara bila mauzo ,nikujilisha upepo"

Kuna watu wengi wanakata tamaa kwenye biashara zao sababu hawana wateja, licha pia ya kua na wateja lakini bado hawana muendelezo mzuri wa mauzo yao ukilinganisha na mitaji waliowekeza .

Wengine hata wameamua kusema kabisa kua "Bila kuloga hutaweza kufanikiwa na kupata wateja wengi" ,Hebu jiulize Ali Express, KIKUU na Amazon Wana mloga nani ili waweze kuuza ,utasema kwamba Amazon hawana bidhaa wao ni kama soko tu la kuuzia bidhaa, Je kikuu, wanamloga nani, Uber na bolt Wana mloga nani ili wapate wateja?

Biashara inahitaji mbinu ili uweze kufanya mauzo na kua na wateja wa kudumu, mbinu hizo za biashara ndizo ambazo mimi nataka nikupe wewe leo ili uweze kufanya mauzo mengi na kua na biashara iliyo simama vizuri

Inawezekana ni marafiki zako, ndugu zako, watoto wako, mke wako au mume wako, usikate tamaa ndio mana leo mimi nipo kukusaidia wewe

MILANGO MIKUBWA YA MAFANIKIO YAKO unayoitafuta imefichwa kwenye UTAYARI WAKO wa kuthubutu.

1. Je, unahitaji kukuza biashara yako iwe na wateja wengi?

2. Je, unahitaji kupata wateja wa kudumu?

3. Je, unahitaji kuondokane na Madeni ili uwe uhuru na ufikie malengo yako ya kifedha?

4. Kuuza Zaidi bidhaa / huduma zako ili upate faida zaidi na ukuze biashara yako?

Kama jibu lako ni NDIO kati ya moja wapo basi kitabu changu cha (MAUZO BOOSTER) i kitakuwa msaada na suluhisho lako, katika biashara yako

Na kwakuwa nina amini kitabu changu kiitakusaidia nakupa siku 7 za kufanyia kazi mbinu nilizokupatia katika kitabu changu, kama usipofanikiwa kutatua shida yako nakuhakikishia 100% Money Back Guarantee.

Lipia kitabu hikii, anza kuzisoma, fanyia kazi, Kama ndani ya siku 7 utaona HAZIJAKUSAIDIA CHOCHOTE wasiliana na mimi Whatsapp 𝐈𝐓𝐒 𝐖𝐎𝐋𝐋𝐘, bonyeza hilo neno, tutakurudhishia fedha zako zote.

INA MAANA HAUNA CHA KUPOTEZA.

Kupata kitabu hiki Tuma Tsh 9999 Tu!
Kwenda HALOPESA 0626873939
Jina linakuja (ROSE FRANSISCO)

Kisha tuma UTHIBITISHO WA MUAMALA Whatsapp kujipatia kitabu chako ndani ya dakika 2 tu
Adobe_Express_20220805_1823010.17893240222077622.jpg
 
Binafsi nashauri wafanyabiashara wakachukue uzoefu kwa wafanyabiashara waliofanya wakafanikiwa katika uhalisia. Kama una duka la mtumba, jenga urafiki na muuza mitumba aliyefanikiwa kama unauza mbao hivyo hivyo n.k

Jenga urafiki kwanza mambo ya kutaka info moja kwa moja utaishia kusema hakuna mtu wa kukupa siri za biashara.

Binafsi nimeshuhudia dada mmoja akitoka from 0 to avarage ya 3m per month baada ya kujenga urafiki na mama mmoja mzoefu wa biashara ambayo yeye alikuwa ndo anaanza. Alichokifanya yule mama kazi zinapomzidia anamsogezea yule dada na kumwambia changamkia.(Dada alikuwa anakula makombo ya wateja wa huyo mama) Sasa Yale makombo yamekuwa ni chakula kamili kwa huyu dada.

NOTE: Siku zote urafiki ni win win hivyo kama huna namna ya ushawishi kuwa wewe ni wa muhimu kwa unayetaka kujenga naye urafiki utafeli kuujenga.
 
Binafsi nashauri wafanyabiashara wakachukue uzoefu kwa wafanyabiashara waliofanya wakafanikiwa katika uhalisia. Kama una duka la mtumba, jenga urafiki na muuza mitumba aliyefanikiwa kama unauza mbao hivyo hivyo n.k

Jenga urafiki kwanza mambo ya kutaka info moja kwa moja utaishia kusema hakuna mtu wa kukupa siri za biashara.

Binafsi nimeshuhudia dada mmoja akitoka from 0 to avarage ya 3m per month baada ya kujenga urafiki na mama mmoja mzoefu wa biashara ambayo yeye alikuwa ndo anaanza. Alichokifanya yule mama kazi zinapomzidia anamsogezea yule dada na kumwambia changamkia.(Dada alikuwa anakula makombo ya wateja wa huyo mama) Sasa Yale makombo yamekuwa ni chakula kamili kwa huyu dada.

NOTE: Siku zote urafiki ni win win hivyo kama huna namna ya ushawishi kuwa wewe ni wa muhimu kwa unayetaka kujenga naye urafiki utafeli kuujenga.
umetisha sana, andika kitabu ukilete hapa mwanetu.
 
Moja ya changamoto nimaswala yakikodi hasa ukifanya biashara mikoani
 
Back
Top Bottom