Unasikiliza wimbo gani muda huu?

Sugarcane (rmx)..ya darkoo😍
 
Ellie goulding hapa something.....🎶🎶🎶
Ellie goulding lights 🔥🔥
 
Habar

Kila siku na mood yake!mi saa izi nasikiliza wimbo

Wa “lavalava -habibi”

#maishaSiyoKuwaSeriousMudaOte

Tuambie unasikiliza wimbo gan Au ndo unasikiliza makelele ya mkeo??[emoji23][emoji23]
Nipo hapa nasikiliza nyimbo ya msondo ngoma baba ya muziki inaitwa 'mapenz kizungumkuti'.
 
Tunamskiliza jamaa anauza bidhaa kwenye basi la Extra Luxury mkuu.

Wamezima mziki...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…