Unasubiri kula uroda hadi ufunge ndoa kumbe mwenzio anagawa uroda kama pipi

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Una mchumba, mzuri kwa sura na umbo, mrefu bonge la kaka litanashati.
Mmekubaliana kuwa hamna kuparamiana hadi mfunge ndoa kwa kuwa nyie ni walokole safi.
Mapenzi yenu yanaendelea, siku moja kabla ya harusi mchumba wako anafumaniwa gesti na mke wa mtu, soo linamalizwa kiungwana.
Kesho yake kanisani mchungaji anapouliza iwapo kuna mwenye pingamizi mara wanaibuka wanawake watatu, mmoja ana watoto wawili, mwingine ana mtoto mmoja na mwingine ana cheti cha ndoa.
Je mwanaume kama huyu anastahili adhabu gani kutoka kwa ndugu wa bibi harusi n??
 


hakuna adhabu zaidi ya kutengua ndoa maana hakuna ndoa hapo?
 
Anastahili msamaha wa bibi harusi
 
Jamaa rijali huyo, na anafanya risk diversification. Oooh, natania tuu, aende Loliondo.
 
hahahahahahhahahahahaahh lol
dahhhhh unajua kuniachaga solemba na
thread zako jamani unanivutia na kunichekesha sana dear
hii ya leo kali ..mmmhh
 
Mshikaji thread zako zimekaa kama sinema, yaani zina mtiririko mzuri na zinachekesha.
 
Kesho yake kanisani mchungaji anapouliza iwapo kuna mwenye pingamizi mara wanaibuka wanawake watatu, mmoja ana watoto wawili, mwingine ana mtoto mmoja na mwingine ana cheti cha ndoa.
Je mwanaume kama huyu anastahili adhabu gani kutoka kwa ndugu wa bibi harusi n??[/QUOTE]


Kwa nini apate adhabu na hapo kanisani ameshapata adhabu ya kutosha? Let it go!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…