Unatafuta ajira? Fuata ushauri huu

Unatafuta ajira? Fuata ushauri huu

Tuko

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
11,180
Reaction score
7,346
Asilimia 80 ya watu wote wanaoajiriwa (global data) hupata kazi kutokana na networking na 20% waliobaki hupata kutokana na application...

90% ya watu wote wanaotafuta ajira hutegemea application...

Kama unatarajia kupata ajira kwa application, ujue kwamba una chance kwenye nafasi moja tu kati ya 5 zilizo vacant, na ujue kwenye hiyo nafasi 1, unaenda ku-compete na 90% ya watu wanaotafuta kazi hiyo...

Kwa nini usianze networking leo?
 
Back
Top Bottom