Unatafuta Programu (Application au Website)? Unabiashara au wazo? Njoo Tuyajenge!

Unatafuta Programu (Application au Website)? Unabiashara au wazo? Njoo Tuyajenge!

Turbin

Member
Joined
Jan 31, 2016
Posts
6
Reaction score
2
Niko hapa kukusaidia kutengeneza programu bora kwa matumizi yako binafsi au ya kibiashara. Ninabuni websites na applications za kisasa kwa gharama nafuu na bei maelewano. Muda ni ndani ya siku 2 mpaka week mbili ikiwa ngumu sana

Nina uzoefu katika:
  • Kutengeneza Websites (E-commerce, Blogs, Portfolios, SaaS)
  • Applications za Simu (Android & iOS)
  • Mfumo wa Biashara (POS, ERP, na zaidi)
📞 Wasiliana nami leo kwa maelezo zaidi ili nikufanyie kazi yenye ubora na kukidhi mahitaji yako!
 
Back
Top Bottom