Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
mods pls funga hii topic
haya sasa HUAWEI EC121 CDMA MODEM!!!!!!!!NIPE MAUJANJA!Hichi ndo kinatakiwa mkuu
We ndiye mtoa amri kwa maMODS humu ndani? Kwa nn uwafundishe kazi? Acha ubabe bw mdogo, ili ni jukwaa uhuru, kila mtu anaruhusiwa kupost chochote ilimradi asivunje sheria za humu ndani.
akuna alotoa amri ila maoni, akuna anayefundisha mm sio mwlm, akuna mbabe mana aisaidii chochote nikweli ili nijukwaa huru tena huru kweli kweli ndomana unaweza kuniita bwana mdogo ila kukumbushana kufahamishana ni muhimu ndio mana tukamwambia tayari kuna topic mama kuhusu huawei ambayo inamengi na msaada zaidi mfano tangu ameanzisha ametoa msaada gani next tme kabla ujadandia treni kwa mbele soma mjadala vzuri sory kama nimekukwaza mkuu
Mkuu kwa namna fulani nakubaliana na wewe, hakatazwi mtu kupost hapa lakini maranyingi watu wanakuja na mbwembwe nyingi wakianza kupewa requet badala ya kuonyesha maujuzi wao wanaanza kujibu malumbano.
Toka apost thread hii tumetuma request zetu lakini kimya hadi sasa
Mkuu kwa namna fulani nakubaliana na wewe, hakatazwi mtu kupost hapa lakini maranyingi watu wanakuja na mbwembwe nyingi wakianza kupewa requet badala ya kuonyesha maujuzi wao wanaanza kujibu malumbano.
Toka apost thread hii tumetuma request zetu lakini kimya hadi sasa
mkaa mweusi,
post yako c mbaya ila umekuwa umeacha pending request za watu bila ya kuleta solving,
kama hii aliyoandika calvinpower.
(mkuu kuna modems za huawei ambazo zipo counter blocked yaani haziulizi tena kuweka unlock code huawei E1550. unaweza nipa maelekezo ya kuzifungua?)
pia anayosema drphone is true,this topic had been posted b4 with lot of skills,and helped a lot of people...
hopefully u do take action mkaaa concerning calvin power question.
Thx for your reply. ila mkuu hii software inaandika codes kwenye modems ambazo hazipo counter blocked na si ambazo zipo counter blocked. yaani ambayo haikuulizi tena unlock codes. the only solution ni kwa njia ya patch. na sijapata patch yake.Wakuu nipeni majibu
I did not find this solution helpful. njia nzuri ya kuepuka kujaza forum space ni kusikiliza suggestions za watu kama alivyosema Zasasule, Dr Phone na wengine na si kuja na solution ambazo huna uhakika nazo nilitegemea uliwahi kukutana na tatizo kama langu na ukalitatua. na kama ulifanikiwa basi ndo ungekuja na kutoa maelekezo uliyotumia na si ku-copy and paste solutions ambazo hazitatui tatizo.Wakuu nipeni majibu
Wakuu nipeni majibu
Mkuu kuna njia nyingine unaweza kutumia DC UNLOCKER unaiflash hiyo modem au kuinlock, Na unaweza kuupdate firmware za hiyo modemI did not find this solution helpful. njia nzuri ya kuepuka kujaza forum space ni kusikiliza suggestions za watu kama alivyosema Zasasule, Dr Phone na wengine na si kuja na solution ambazo huna uhakika nazo nilitegemea uliwahi kukutana na tatizo kama langu na ukalitatua. na kama ulifanikiwa basi ndo ungekuja na kutoa maelekezo uliyotumia na si ku-copy and paste solutions ambazo hazitatui tatizo.
Mkuu uko sawa tuhamishie nguvu huko, Naona unaipa shavu sana hiyo topicmkuu jaribu kuja solution ambayo umeyafanyia kazi na sio kugoogle na kucopy na kupaste na kwa ajili hyo turudi kwenye topic mama tuunganishe nguvu pamoja itapendeza zaidi mkuu natangulza heshima mbele
Mkuu Sasatel ni kampuni ya simu kama voda, airtel na tigo, voda hawana modem zao, manufacturer wa modem za voda ni ZTE, sasa yapasa ututumie MODEM MODELMkuu nipe maelekezo nataka kuichakachua modem ya sasatel
Mkuu kuna njia nyingine unaweza kutumia DC UNLOCKER unaiflash hiyo modem au kuinlock, Na unaweza kuupdate firmware za hiyo modem
Cation: Do it at ur own risk but 4sure it z goin 2 work ukitumia hizi njia
you are right.Mkuu Sasatel ni kampuni ya simu kama voda, airtel na tigo, voda hawana modem zao, manufacturer wa modem za voda ni ZTE, sasa yapasa ututumie MODEM MODEL
Mkuu maelezo uliyoyatoa yanafanana na haya hapa au ndipo ulipotoa hapa How to unlock the Huawei E1550 3G Modem | Kartonista kumbuka huyu aliyeandika hapa nae sio professional au expert. hii kitu imewaumiza sana vicha wale ma-guru. hii modem inafunguka kwa njia ya patch tu. customized firmware ni mpaka upate firmware ya ile iliyotumika kufungia then una flash only the required field. so far patch ambazo zipo on line ni IDEA india, Kyivstar Ukraine, na MTS (MTC) Ukraine pia. hata dc-unlocker ndizo wanaweza kufungua.Mkuu kuna njia nyingine unaweza kutumia DC UNLOCKER unaiflash hiyo modem au kuinlock, Na unaweza kuupdate firmware za hiyo modem
Cation: Do it at ur own risk but 4sure it z goin 2 work ukitumia hizi njia