unataka kuchakachua moderm yako SOFTWARE YAKE HII HAPACHIZICOMPUTER)

ukiambiwa umekosea na ukagundua kweli umekosea kubali na useme asante kwa kurekebishwa, acha ubishi, tunashukuru kwa kupost hiyo link kwani utasaidia watu wengi ingawa tayari calvinpower alishaipost zamani nadhani wewe ulikuwa hujajiunga JF.

Kaka kakukosesha kibiashara chako au?
 
Kaka kakukosesha kibiashara chako au?

hakuna biashara hapa, nilikuwa namkumbusha kuwa tayari hiyo software ilishakuwa posted zaidi ya mara moja, nashkuru hata mimi niliunlock modem yangu kwa msaada wa jf. Na sasa natwanga na mitandao yote.
 
Sielewi kuna ugomvi wa nini hapa!

Kuna vita vya washika mapembe!!! Mkamuaji maziwa katulia tuliiii!!!!!, anajikamulia maziwa yake. Lakini ni utoto tu ndio unaowasumbua, wakikua wataacha!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…