don88
Member
- Jan 22, 2013
- 53
- 84
JAMAA aliingia mgahawani na kuagiza wali kuku, sikia ilivyokuwa;
Mhudumu: Tukuhudumie nini?
Jamaa: Niletee wali kuku, weka na pilipili.
(baada ya kuletewa)
Jamaa: Oya, mbona huyu kuku ana mguu mmoja mrefu kuliko mwingine?
Mhudumu: Kwani huyo kuku unataka kumla au kucheza naye muziki?
Mhudumu: Tukuhudumie nini?
Jamaa: Niletee wali kuku, weka na pilipili.
(baada ya kuletewa)
Jamaa: Oya, mbona huyu kuku ana mguu mmoja mrefu kuliko mwingine?
Mhudumu: Kwani huyo kuku unataka kumla au kucheza naye muziki?