Unataka kuoa uchagani?

Lizzy Bawana anapenda starehe...DIGITALI tu kubonyeza umelala au sio hhahahahaha...asije na la kuamkia kwenda kulizima...watu unageuka tu REMOTI chini ya SITA KWA SITA...hahaha

Haahahhaha....ndo hivyo kisa cha kunyanyasika ni nini na kuamka kila saa ni nini?!
 
5-Ng'ombe wa malele.
 
mbona sijaona kuhusu mambo ya mbege? wachaga ni nomaaa!
 
mimi nawapenda sana.najitahidi kwenda taratibu ili nikioa nisikosee.lazma nioe uchagani.lizzy endelea kufanya hiyo kazi ya kunitafutia kimwana huko ucg.
aisee oa kote lakn icwe machame, utabakia historia tu mi nawapenda wamarangu sana ila nao wanaringa sana
 
yesuu! uchagani hatuna mamsela! tuna mamsera! we ulienda sumbawanga fara!
 
huyo jamaa aliepelekwa mamsera akaona pick up ziki beba ndizi ajue kwetu uchagani pickup nizakubeba ndizi namajani. wao kwao pick zinabeba watu! wapi na wapi? watu ni ma vogue, hammer,benz,etc
 
huyo jamaa aliepelekwa mamsera akaona pick up ziki beba ndizi ajue kwetu uchagani pickup nizakubeba ndizi namajani. wao kwao pick zinabeba watu! wapi na wapi? watu ni ma vogue, hammer,benz,etc

Mh!
Haya bana
 
Mbona Jamii Forums hatuachani na mambo ya Wachagga? Hakuna wiki inayopita bila kuwa na topic inayohusu chagga. Let us skip it. Talk national things. Discuss other tribes too: Wadigo, Wagogo. Wambulu, Wamakonde, Wafipa, Waha, Wanyaturu, Wamaasai, Wasonjo, Wamang'ati etc, etc.
 
aisee oa kote lakn icwe machame, utabakia historia tu mi nawapenda wamarangu sana ila nao wanaringa sana

okay...nmekusoma.kumbe hao ndo wale wanaoua waumezao baada ya kupata...!!.asante sana.halafu nasikia wana mdomo...hao.ukikosa kidogo tu ataongea usiku kucha.dah! kweli.mia.
 
okay...nmekusoma.kumbe hao ndo wale wanaoua waumezao baada ya kupata...!!.asante sana.halafu nasikia wana mdomo...hao.ukikosa kidogo tu ataongea usiku kucha.dah! kweli.mia.
Embu acha kunitukana...ntakuua!
 
Embu acha kunitukana...ntakuua!

oooh..!!.hivi ni kweli lizzy?samahani mkubwa sikujua.nakuheshimu sana mkubwa lizzy.mi niliuliza tu,ulitakiwa kujibu kweli au si kweli?mi nasikia tu.
 
hahahah! sisi hatumo huko. Wewe unapenda wanawake wa kichaga, nenda kaoe siku hizi hakuna complication bwana.
 
loshoro ya wachaga sana sema jina ni tofauti uchagani.jamani mali muhimu umasikini cio mpango wa Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…