Unataka muonekano ng'aring'ari? Hii ni kwa ajili yako

Unataka muonekano ng'aring'ari? Hii ni kwa ajili yako

Queen V

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2012
Posts
775
Reaction score
1,332
231560a3-1ca0-4856-a2ea-992f71ff8b13.jpg

Je unataka kujua aina ya ngozi yako na matunzo kulingana na aina ya ngozi yako?
Unahitaji kuelewa kuhusu bidhaa za vipodozi hatarishi?

Haya na mengine mengi kuhusu Afya ya Ngozi yatapatikana katika Semina inayoletwa kwako na Timeless Hair & Beauty Salon, siku ya Ijumaa tarehe 28.10.2016 kuanzia saa 10 jioni katika Ukumbi wa Banora mkabala na Mlimani City.

Mbali na hayo, kutakuwa na daktari kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili na wawakilishi kutoka TFDA.

Elimu yote hii ni BURE!!!!
Hii si ya kukosa.
 
Mwanaume mwenye akili timamu hawezi kwenda labda awe MWANAUME WA DAR
 
Usafi wa ngozi haungalii mwanaume wala mwanamke, kama wewe unautaka unadhifu bila kujali jinsia na kama muda upo kwa nini usiende?
 
Back
Top Bottom