Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,584
- 6,136
Baada ya Dr. Slaa kukaa kimya nimeona heri tumpe suport huyu ambaye anasema anafikiria kugombea. Haitakuwa mbaya sana tukimuonyesha moyo wa kuwa na imani na yeye baada ya kuvunjwa imani na CCM kwa miaka mingi.
Kwa waliofundishwa na huyu jamaa, wanamfahamu kwa karibu.
Pia kuipa chama cha CCM kuwa na RAIS na WABUNGE WENGI, ni sawa na kuipa CCM muuwaji na mchimba kaburi. Watatuuwa na kutuzima na tusahaulike MILELE.
Naanza tena mwenyewe kujiandikisha. Kama Mkandara utaona nikurudishe tena kwenye namba moja basi ntafanya hivyo.....
1.Sikonge 2.
Kwa waliofundishwa na huyu jamaa, wanamfahamu kwa karibu.
Pia kuipa chama cha CCM kuwa na RAIS na WABUNGE WENGI, ni sawa na kuipa CCM muuwaji na mchimba kaburi. Watatuuwa na kutuzima na tusahaulike MILELE.
Naanza tena mwenyewe kujiandikisha. Kama Mkandara utaona nikurudishe tena kwenye namba moja basi ntafanya hivyo.....
1.Sikonge 2.