Sidhani km TRA watafaulu kwa zoezi lao hili, watu wengi hawana uelewa kabisa, na wafanyabiashara wanachukulia mwanya huu kuinyonya nchi yetu.
Lakini wakati mwingine ukifikiria sana, unaona hakuna haja ya kulipa kodi inayoishia ktk MATUMBO YA MAFISADI.
UNAKUTA FISADI A KAVIMBA TUMBO KM CHURA anahemea kifuani kakaa bungeni akipiga meza kugandamiza wananchi, akitoka hapo CHIPS KUKU NA BIA, NA POSHO YA ZAIDI YA LAKI 100 KWA SIKU.
WATU WENYE TAALUMA KM MADAKTARI, MAFAMASIA, MAINJIANI, WAALIMU N.K wanaambulia pesa ya mkate.
hakuna usawa, wapiga domo wanasiasa wanamaisha poaaa, wataalam hata bajaj hawana sasa ndio nini.
Mie naona sawa tu wacha wakwepe kulipa hadi pale uwiano utakapokuwa na nafuu.