Unataka Tumbo Flat na Six Packs? Cheki Hapa

ukiwa veterani wa mazoezi raha sana yaani unaamua tu wiki hii naweza kukimbia km 10 wiki hii nitapiga push up 100 wiki hii kuruka kamba lakini ukiwa mwanafunzi unawaza sijui nitaumia sijui watu watanionaje,kiukweli mazoezi rahaaaaaaa castr hujambo!!
 
Mkuu nimepiga roller mgongo unauma sana tatizo ni nini?
 
Mkuu nimepiga roller mgongo unauma sana tatizo ni nini?
Maumivu ya roller hua nayahusisha zaidi na mkao na kuanza execution ya zoezi lako.

Hua unapiga push ups? Mgongo hua unauma pia?

Mkao wako upoje katika hili zoezi?
 
Fanya zoezi la kwanza, la pili, na la tatu, pia fanya plank, hilo zoezi ulilolisema mwanzo (kama nimepatia unakua kama unanyonga baiskeli) lihusike pia. Napendekeza pia fanya jogging (usikimbie).
Why zoezi la kwanza la pili na la tatu???? Je hiyo flat tummy nigaiona baada ya muda gani??? Na pia si vizuri kwenda na diet yan unafanya mazoezi na kupunguza kiasi cha kula hasa cha mafuta au??
 
Why zoezi la kwanza la pili na la tatu???? Je hiyo flat tummy nigaiona baada ya muda gani??? Na pia si vizuri kwenda na diet yan unafanya mazoezi na kupunguza kiasi cha kula hasa cha mafuta au??
Nilimjibu vile kwakua alisema kuna mazoezi alifanya akapata maumivu.

Effects za mazoezi kuonekana hata na mtu wa pembeni na kila kitu ukafanya kama inavyotakiwa ni wiki sita.

Nasuggest hivyo pia ila kwangu mimi naona tabia za mlo ndiyo kikwazo, mfano kula kupita kiasi, kunywa pombe kupita kiasi ndiyo kikwazo.
Kwa mtu anayetrain hardcore chakula hakina impact kama ambayo watu wengi wanaisema.
 
Anha nimekuelewa asante!
 
...Mkuu hebu share hiyo diet plan ya wiki mbili ili wengi tufaidike
 
Kwa kweli push up nlikua napga 100 kwa siku mpka 150 kwa siku ila sijawai kuyaskia,huwa napiga magoti nanyanyua miguu kwa nyuma then nasukuma kigurudumu mbele then najivuta kukirudisha
 
Zoezi La Kusukuma Kitairi Usipokaa Vizuri Kwa Mwanaume Utatoka Kishundu
Take Care.

@m G00d Br0ther
 
Wenye vitambi na minyama uzembe kazi kwenu mmepata mkombozi.
 
Wenye vitambi na minyama uzembe kazi kwenu mmepata mkombozi.
Sina hakika na uelewa,elimu yako na uchambuzi wako wa mambo kama umeishia hapo kuhusu dhana ya mazoezi na faida zake maana kwa upande kama wangu sina kitambi na wala mwili mkubwa ila lengo ni kuwa fitness ili kujihadhari na magonjwa pia ambayo yanaepukika.
 
medio hongera mkuu utaweza tu ziba masikio maana utakatishwa tamaa
 
Nitaanza kupiga crunches, nimeletwa kwenye huu uzi baada ya kutaka kujua njia za kutoa kitambi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…