Basi tutapanga mipango yetu baadae[emoji9] [emoji10] [emoji11] [emoji8] thanks my love...leo nipo free..wewe tu
wewe haiwezi tokea kitu kama hïyo kwan humu jf ukiwa na demu ndo unamfanyaje? bora niwe chaputa kuliko kua na demu jfHahaa kila la kheri kama umeamua kujibebisha mwenyewe.. Angalia usije ukaishia kuwa mwanachama wa chaputa
Duuh kwa hiyo demu wa Jf ana tatizo gani?wewe haiwezi tokea kitu kama hïyo kwan humu jf ukiwa na demu ndo unamfanyaje? bora niwe chaputa kuliko kua na demu jf
unajua zile picha za expectation. vs reality?Duuh kwa hiyo demu wa Jf ana tatizo gani?
karibu loveBasi tutapanga mipango yetu baadae
Hahaa unatakiwa uwe muoteaji mzuri mbona warembo wapo wengi tuunajua zile picha za expectation. vs reality?
Hahaa unatakiwa uwe muoteaji mzuri mbona warembo wapo wengi tu
Hawawezi kukosekanaNi kweli dude lote hili warembo watakuwemo tu
Hawawezi kukosekana
Ndio maana nimesema inabidi uwe mtaalamu wa kuoteaTatizo ninaloliona nikuibuka na kitu tofauti
Uwezekano uPO kuopoa kitu, au kuopolewa chakushukuru ukibahatika.
Ukikosea majanga.
Ndio maana nimesema inabidi uwe mtaalamu wa kuotea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bichwa lakowatu ambao hatuna id ya ke ya kuibusti hii ya me tutateseka sana mwaka huu
Jaman ww si upo USA baby jaman ukija bongo tutakula bata mpaka kuku waone wivuShunie
Utuogope tuna niniii ebu hukosasa hapa aidia ni kuunda id ya kike tu warembo wa humu hataa nawaogopa mno
Love uShunie
unaoteaje yani kwa mfano .......hivo si kucheza love biko ...tena mchana kweupe na tumeshakatazwa kamari na mwenyezi au ndo zako nn kubahatisha (otea hahaha) humu jf? mkuu..Hahaa unatakiwa uwe muoteaji mzuri mbona warembo wapo wengi tu